Jana: Nigeria 1-2 Rwanda, Ghana 1-2 Niger Kwanini mnakuwa wazito kuamini Tanzania anashinda leo

Huyo Guirassy anapata nafasi ya kucheza akiwa Dortmund?
 
Taifa Stars umma ukiwa unatamani ishinde haishindi na umma ukiwa hauna hata mood na mechi ndo inashinda. Leo watanzania wanataman ishinde sasa ndo itafeli

 
Stars ipingwe tena nyingi sana maana kuna panya wapo mashimoni wanachungulia ili ikishinda waanze kumshukuru mama. Chawa wanakuwa na kuenea kwa kasi ya ajabu
Huku wakibubujikea machozi ya furaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…