Jana nilibahatika kusindikizwa na police mpaka nyumbani baada ya kuzidiwa na kilevi.

Jana nilibahatika kusindikizwa na police mpaka nyumbani baada ya kuzidiwa na kilevi.

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Jana bana baada ya kazi kumbe nilipita bar flani kusuuza koo.nikapiga konyagi kubwa ile nikazima,sasa muda umeenda wahudumu wakaniamsha kuwa wanataka kufunga niondoke,me kwa utani nikawaambia niitieni police wanisindikize nyumbani,bahati nzuri kuna gari la doria la police likapita wakaitwa,kufika me nikawaambia nimezidiwa na kilaji hivyo siwezi kuendesha gari naomba wanipeleke nyumbani,wakaniuliza nyumbani kwangu ni wapi nikawaelekeza,wakaniambia niingie kwenye landcruzer Lao lile nikaingia wakanipeleka mpaka getini nyumbani.gari langu nimelipitia asubuhi pale bar.
Police wema bado wapo na wanatekeleza majukumu yao vizuri tu.
 
Jana bana baada ya kazi kumbe nilipita bar flani kusuuza koo.nikapiga konyagi kubwa ile nikazima,sasa muda umeenda wahudumu wakaniamsha kuwa wanataka kufunga niondoke,me kwa utani nikawaambia niitieni police wanisindikize nyumbani,bahati nzuri kuna gari la doria la police likapita wakaitwa,kufika me nikawaambia nimezidiwa na kilaji hivyo siwezi kuendesha gari naomba wanipeleke nyumbani,wakaniuliza nyumbani kwangu ni wapi nikawaelekeza,wakaniambia niingie kwenye landcruzer Lao lile nikaingia wakanipeleka mpaka getini nyumbani.gari langu nimelipitia asubuhi pale bar.
Police wema bado wapo na wanatekeleza majukumu yao vizuri tu.
Hata mwandiko tu unaonesha ulilewa burugutu!
 
Jana bana baada ya kazi kumbe nilipita bar flani kusuuza koo.nikapiga konyagi kubwa ile nikazima,sasa muda umeenda wahudumu wakaniamsha kuwa wanataka kufunga niondoke,me kwa utani nikawaambia niitieni police wanisindikize nyumbani,bahati nzuri kuna gari la doria la police likapita wakaitwa,kufika me nikawaambia nimezidiwa na kilaji hivyo siwezi kuendesha gari naomba wanipeleke nyumbani,wakaniuliza nyumbani kwangu ni wapi nikawaelekeza,wakaniambia niingie kwenye landcruzer Lao lile nikaingia wakanipeleka mpaka getini nyumbani.gari langu nimelipitia asubuhi pale bar.
Police wema bado wapo na wanatekeleza majukumu yao vizuri tu.
Kusema kweli hii ndiyo kazi ya polisi,kulinda na kuokoa watu na mali zao.Wengi hawajui wanadhani ni kukamata tu.na hata ukikamatwa ujue kuna mtu au watu wanalindwa na ukorofi wako.Nawapongeza polisi hao
 
Jana bana baada ya kazi kumbe nilipita bar flani kusuuza koo.nikapiga konyagi kubwa ile nikazima,sasa muda umeenda wahudumu wakaniamsha kuwa wanataka kufunga niondoke,me kwa utani nikawaambia niitieni police wanisindikize nyumbani,bahati nzuri kuna gari la doria la police likapita wakaitwa,kufika me nikawaambia nimezidiwa na kilaji hivyo siwezi kuendesha gari naomba wanipeleke nyumbani,wakaniuliza nyumbani kwangu ni wapi nikawaelekeza,wakaniambia niingie kwenye landcruzer Lao lile nikaingia wakanipeleka mpaka getini nyumbani.gari langu nimelipitia asubuhi pale bar.
Police wema bado wapo na wanatekeleza majukumu yao vizuri tu.
Aione Kamanda Murilo kwenye Jarada
 
Screenshot_20250110-071504.jpg
 
Back
Top Bottom