Hi chai, mtu mwenye kumiliki gari nyumba famila hawezi kurisk maisha yake na ya familia kuacha mlago wazi kutembea usiku wa manane kisa mbususu!!!!!Aisee abdalah kichwa panzi akisimama akili inapotea
Jana usiku saa sita kasoro nilikuwa nachek series moja sebulen wife akiwa amelala chumbani. Saa sita kamili nikawa naview status za whatsap kuna binti mmoja wa chuo nimemfukuzia kitambo sana akawa anachomoa(kiukweli huyu binti