Jana nimeiona nguvu ya pesa

ulichokifanya ndicho wanachokifanya ros tam az iz na wenzake kwenye kuifisadi nchi.
 
Mbona sioni cha kusgangaza hapa?
 
Pesa kitu Cha ajabu sana ,ndiyo maana nikipataga maburungutu na Mimi uwa najificha chumbani pekee yangu naziweka chini nazikanyaga kwa hasira huku naziambia nyie si chochote Wala lolote mbona nawakanyaga maana uwa zinanipeleka mputa kuzipata


๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ we acha mkuu
 
K
Kuna siki niliingia soko la Kuku, nikabargain waniuzie kuku wawili kila moja 15K.

Muuzaji akaniambia kama ingekuwa bei hiyo nisingewakuta hao kiku kwani wateja wa bei hiyo ni wengi.

Ghafla nikaona Anakuja mtu kubargain kwa 18K akachukua.

Nikajisemea sawa. Nikamfatilia alizuga zuga pale sokoni vichochoro then akawarudisha pale pale.

Kumbe ni ujanja wa kupiga wateja.

Hii ilitokea pia kwenye soko la Samaki๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Duuhhuu ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
 
Mimi na ephen tumeunganishwa na upendo na siyo pesa.nguvu yetu upo katika upendo na kupendana kama tulivyo na siyo nguvu ya pesa.ndio maana mimi nipo CCM lakini yeye siyo mpenzi wa Madera ya CCM lakini ananipenda hivyo hivyo, nami pia nampenda mpaka najisikia muda wote nimeshiba nikimuwaza yeye.
 
''''PESA HAITAFUTWI,,PESA INATEGWA"'Huwaga siishangai kwenye Usaliti huwaga inafanya kazi Sekunde Yoyote.
 
Kwani ulikuwa hujui, (business people are opportunity seekers) wafanya biashara wanaofanikiwa ni wachamkia fursa
 
Huwa nikiziangalia hela, najiuliza hizi ndizo zinafanya watu waibe, wauane, wasalitiane, wachukiane au wapendane. Kuna nguvu kubwa sana ndani ya pesa. Aliyezigundua, anakula mijeredi kila siku huko juu ๐Ÿ˜‡
Hakika
 
Usijione mjanja wa kudandia mitego, utakujakwama utajuta na biashara za barabarani usiku.
 
Bongo bhana yaweza kuta umefanya biashara ya lak tano nawe ukajiona unapesa na ss tunaofunga zaid ya hyo tusemeje
 
Haujasikia Marekani kuna mijitu yenye pesa kazi yake ni kununua 'kashifa za kweli' za wagombea?

Pesa ni kila kitu na ni mwanaharamu vile vile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ