Jana nimepigwa ngumi na mke wangu na amesema anajuta kuolewa na mimi

Jana nimepigwa ngumi na mke wangu na amesema anajuta kuolewa na mimi

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Hivi nifanyeje? Na ukizingatia nimetoa mahari kubwa na kuna kiasi bado na nadaiwa kule kwao na ukizingatia mwanamke mwenyewe ndiyo huyu yaani nilivyotegemea na niliyokutana nayo ni vitu viwili tofauti

Kosa ni kumuambia kwanini unamtumia picha zako mwanaume mwingine? Aisee akanyanyuka juu akachukua simu kuwapigia wazazi wake na kudai namnyanyasa aisee sasa wakati anataka kuongea na wazazi wake mie nilikuwa natoka nje aisee akanivuta na kunipiga ngumi kali aisee aisee na akasema anajuta kuolewa na mimi.

Kuna mbinu nataka niifanye kwamba nimpeleke kwao akasalimie na hapo nitampiga chini mazima no calling za simu no SMS yaani nitamchana kwamba mimi na wewe ni basi. Kama mahari nitarudishiwa it is ok kama sitarudishiwa pesa ni makaratasi hasara roho na nahisi ipo siku atanichoma kisu huyu mwanamke aisee.
 
Hivi nifanyeje? Na ukizingatia nimetoa mahari kubwa na kuna kiasi bado na nadaiwa kule kwao na ukizingatia mwanamke mwenyewe ndiyo huyu yaani nilivyotegemea na niliyokutana nayo ni vitu viwili tofauti

Kosa ni kumuambia kwanini unamtumia picha zako mwanaume mwingine? Aisee akanyanyuka juu akachukua simu kuwapigia wazazi wake na kudai namnyanyasa aisee sasa wakati anataka kuongea na wazazi wake mie nilikuwa natoka nje aisee akanivuta na kunipiga ngumi kali aisee aisee na akasema.anajuta kuolewa na mimi.

Kuna mbinu nataka niifanye kwamba nimpeleke kwao akasalimie na hapo nitampiga chini mazima no calling za simu no SmS yaani nitamchana kwamba mimi na wewe ni basi. Kama mahari nitarudishiwa it is ok kama sitarudishiwa pesa ni makaratasi hasara roho na nahisi ipo siku atanichoma kisu huyu mwanamke aisee.
Ke Wakurya na Wanyakyusa mnatuheshimisha sana Me kuwafunza UANAUME Wavulana akina Juniors wa miaka ya 2000.....

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hivi nifanyeje? Na ukizingatia nimetoa mahari kubwa na kuna kiasi bado na nadaiwa kule kwao na ukizingatia mwanamke mwenyewe ndiyo huyu yaani nilivyotegemea na niliyokutana nayo ni vitu viwili tofauti

Kosa ni kumuambia kwanini unamtumia picha zako mwanaume mwingine? Aisee akanyanyuka juu akachukua simu kuwapigia wazazi wake na kudai namnyanyasa aisee sasa wakati anataka kuongea na wazazi wake mie nilikuwa natoka nje aisee akanivuta na kunipiga ngumi kali aisee aisee na akasema.anajuta kuolewa na mimi.

Kuna mbinu nataka niifanye kwamba nimpeleke kwao akasalimie na hapo nitampiga chini mazima no calling za simu no SmS yaani nitamchana kwamba mimi na wewe ni basi. Kama mahari nitarudishiwa it is ok kama sitarudishiwa pesa ni makaratasi hasara roho na nahisi ipo siku atanichoma kisu huyu mwanamke aisee.


"Chawa"
 
Nbona hizi habari za wanaume kufanyiwa kitu mbaya na wake zao zinazidi ku trend humu? Anyway, huyo mke wako ni limbukeni, once ameingia kwenye ndoa hapaswi kujuta kwa kuwa tangu mwanzo aliamua kuingia. Kama vipi asingekubali kuolewa nawe, ni mshenzi tu, mvumilie
 
Hivi nifanyeje? Na ukizingatia nimetoa mahari kubwa na kuna kiasi bado na nadaiwa kule kwao na ukizingatia mwanamke mwenyewe ndiyo huyu yaani nilivyotegemea na niliyokutana nayo ni vitu viwili tofauti

Kosa ni kumuambia kwanini unamtumia picha zako mwanaume mwingine? Aisee akanyanyuka juu akachukua simu kuwapigia wazazi wake na kudai namnyanyasa aisee sasa wakati anataka kuongea na wazazi wake mie nilikuwa natoka nje aisee akanivuta na kunipiga ngumi kali aisee aisee na akasema.anajuta kuolewa na mimi.

Kuna mbinu nataka niifanye kwamba nimpeleke kwao akasalimie na hapo nitampiga chini mazima no calling za simu no SmS yaani nitamchana kwamba mimi na wewe ni basi. Kama mahari nitarudishiwa it is ok kama sitarudishiwa pesa ni makaratasi hasara roho na nahisi ipo siku atanichoma kisu huyu mwanamke aisee.
Pole sana mkuu kwa kupigwa ngumi na mumeo hakika uonevu kwa wanawake umezidi na unafumbiwa macho cha kufanya kaa naye chini mumeo umueleze kwamba asiwe anatuma pichwa kwa wanawake wengine maana nyie tayari mna ndoa na haupendezwi na jambo hilo na pia mueleze kwamba mwanamke anapigwa na vitu vitatu tu

1. Upendo
2. Pesa
3. Njomba nchumali
 
Hivi nifanyeje? Na ukizingatia nimetoa mahari kubwa na kuna kiasi bado na nadaiwa kule kwao na ukizingatia mwanamke mwenyewe ndiyo huyu yaani nilivyotegemea na niliyokutana nayo ni vitu viwili tofauti

Kosa ni kumuambia kwanini unamtumia picha zako mwanaume mwingine? Aisee akanyanyuka juu akachukua simu kuwapigia wazazi wake na kudai namnyanyasa aisee sasa wakati anataka kuongea na wazazi wake mie nilikuwa natoka nje aisee akanivuta na kunipiga ngumi kali aisee aisee na akasema.anajuta kuolewa na mimi.

Kuna mbinu nataka niifanye kwamba nimpeleke kwao akasalimie na hapo nitampiga chini mazima no calling za simu no SmS yaani nitamchana kwamba mimi na wewe ni basi. Kama mahari nitarudishiwa it is ok kama sitarudishiwa pesa ni makaratasi hasara roho na nahisi ipo siku atanichoma kisu huyu mwanamke aisee.
Anatakiwa akutandike zaidi Kwa sababu huna akili
 
Hivi nifanyeje? Na ukizingatia nimetoa mahari kubwa na kuna kiasi bado na nadaiwa kule kwao na ukizingatia mwanamke mwenyewe ndiyo huyu yaani nilivyotegemea na niliyokutana nayo ni vitu viwili tofauti

Kosa ni kumuambia kwanini unamtumia picha zako mwanaume mwingine? Aisee akanyanyuka juu akachukua simu kuwapigia wazazi wake na kudai namnyanyasa aisee sasa wakati anataka kuongea na wazazi wake mie nilikuwa natoka nje aisee akanivuta na kunipiga ngumi kali aisee aisee na akasema.anajuta kuolewa na mimi.

Kuna mbinu nataka niifanye kwamba nimpeleke kwao akasalimie na hapo nitampiga chini mazima no calling za simu no SmS yaani nitamchana kwamba mimi na wewe ni basi. Kama mahari nitarudishiwa it is ok kama sitarudishiwa pesa ni makaratasi hasara roho na nahisi ipo siku atanichoma kisu huyu mwanamke aisee.
Hii stori ukiisoma kwa makini unagundua kwamba ni uongo.
 
Back
Top Bottom