Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
😂😂😂Anamfuga mtu kama anafuga mbuzi 🐐Piga chini,usivumilie ujinga,unampa mtu nafasi ya kuishi na wewe anachezea hisia zako,kataa ujinga wa kufuga mtu mzima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Anamfuga mtu kama anafuga mbuzi 🐐Piga chini,usivumilie ujinga,unampa mtu nafasi ya kuishi na wewe anachezea hisia zako,kataa ujinga wa kufuga mtu mzima.
hata mimi ubongo unakataa kabisaa.Mimi siamini ulichokiandika kama ni kweli
kama vile umegeuza betri?.Pole sana mkuu kwa kupigwa ngumi na mumeo hakika uonevu kwa wanawake umezidi na unafumbiwa macho cha kufanya kaa naye chini mumeo umueleze kwamba asiwe anatuma pichwa kwa wanawake wengine maana nyie tayari mna ndoa na haupendezwi na jambo hilo na pia mueleze kwamba mwanamke anapigwa na vitu vitatu tu
1. Upendo
2. Pesa
3. Njomba nchumali
Kwa ushauri wa namna hii hadi mwaka unaisha tayari unakuwa umevunja ndoa 200.Kama unaweza kufanya hivyo unasubiri nn mkuu?Damp her ass,ila hakikisha hurudishi majeshi nyuma maana kweli atakuua
Kwann Wanaume waendelee kuteseka katika Ndoa mke akishakosa heshima imetoka hiyo,akiendelea ni kujitafutia ugonjwa wa moyoKwa ushauri wa namna hii hadi mwaka unaisha tayari unakuwa umevunja ndoa 200.
dronedrake hebu toa neno moja kwa huyu dogoHivi nifanyeje? Na ukizingatia nimetoa mahari kubwa na kuna kiasi bado na nadaiwa kule kwao na ukizingatia mwanamke mwenyewe ndiyo huyu yaani nilivyotegemea na niliyokutana nayo ni vitu viwili tofauti
Kosa ni kumuambia kwanini unamtumia picha zako mwanaume mwingine? Aisee akanyanyuka juu akachukua simu kuwapigia wazazi wake na kudai namnyanyasa aisee sasa wakati anataka kuongea na wazazi wake mie nilikuwa natoka nje aisee akanivuta na kunipiga ngumi kali aisee aisee na akasema.anajuta kuolewa na mimi.
Kuna mbinu nataka niifanye kwamba nimpeleke kwao akasalimie na hapo nitampiga chini mazima no calling za simu no SmS yaani nitamchana kwamba mimi na wewe ni basi. Kama mahari nitarudishiwa it is ok kama sitarudishiwa pesa ni makaratasi hasara roho na nahisi ipo siku atanichoma kisu huyu mwanamke aisee.