Jana nimepigwa ngumi na mke wangu na amesema anajuta kuolewa na mimi

Jana nimepigwa ngumi na mke wangu na amesema anajuta kuolewa na mimi

Hivi nifanyeje? Na ukizingatia nimetoa mahari kubwa na kuna kiasi bado na nadaiwa kule kwao na ukizingatia mwanamke mwenyewe ndiyo huyu yaani nilivyotegemea na niliyokutana nayo ni vitu viwili tofauti

Kosa ni kumuambia kwanini unamtumia picha zako mwanaume mwingine? Aisee akanyanyuka juu akachukua simu kuwapigia wazazi wake na kudai namnyanyasa aisee sasa wakati anataka kuongea na wazazi wake mie nilikuwa natoka nje aisee akanivuta na kunipiga ngumi kali aisee aisee na akasema.anajuta kuolewa na mimi.

Kuna mbinu nataka niifanye kwamba nimpeleke kwao akasalimie na hapo nitampiga chini mazima no calling za simu no SmS yaani nitamchana kwamba mimi na wewe ni basi. Kama mahari nitarudishiwa it is ok kama sitarudishiwa pesa ni makaratasi hasara roho na nahisi ipo siku atanichoma kisu huyu mwanamke aisee.
Hii chai, hamna kitu hapo.
Mwambie aliyekutuma hatukatai ndoa hata mtunge story gani.
Ndoa ndio msingi wa familia, Familia ndio msingi wa taifa.
 
Wakati mwingine tunaweza kuwalaumu wake zetu kumbe sisi ndio shida, inakuwaje mpaka mnamtolea Mwanamke Mahari huku sense tabia zake, kuna mambo uliyapuuzia mkiwa marafiki.

Kabla ya kufanya maamuzi kuweni na muda wa kutosha kama marafiki, atleast mwaka mmoja kuna mambo mengi sana utagundua.
 
pole sana mkuu,heli ukosee vyote ila usikosee kuoa, oa yule ambaye atakuwatayali kufata amri zako,ukiona ni mjuaji achana naye maana utateseka milele.mpeleke kwao kisiasa,ukishampeleka mbwage afu umwambie **mungu amesikia kilio chako cha kujuta kuolewa na mimi kwahiyo nakutakia maisha mema**af usepe zako
 
Hivi nifanyeje? Na ukizingatia nimetoa mahari kubwa na kuna kiasi bado na nadaiwa kule kwao na ukizingatia mwanamke mwenyewe ndiyo huyu yaani nilivyotegemea na niliyokutana nayo ni vitu viwili tofauti

Kosa ni kumuambia kwanini unamtumia picha zako mwanaume mwingine? Aisee akanyanyuka juu akachukua simu kuwapigia wazazi wake na kudai namnyanyasa aisee sasa wakati anataka kuongea na wazazi wake mie nilikuwa natoka nje aisee akanivuta na kunipiga ngumi kali aisee aisee na akasema anajuta kuolewa na mimi.

Kuna mbinu nataka niifanye kwamba nimpeleke kwao akasalimie na hapo nitampiga chini mazima no calling za simu no SMS yaani nitamchana kwamba mimi na wewe ni basi. Kama mahari nitarudishiwa it is ok kama sitarudishiwa pesa ni makaratasi hasara roho na nahisi ipo siku atanichoma kisu huyu mwanamke aisee.
Uamuzi mzuri
 
Eti ukaamua he kwao si atarudi na kukutwanga ngumi tena? We ushafeli yaani umefeli kwenye viwango ambavyo hakuna binadamu wa kiume amewahi kuvifikia
 
Hivi nifanyeje? Na ukizingatia nimetoa mahari kubwa na kuna kiasi bado na nadaiwa kule kwao na ukizingatia mwanamke mwenyewe ndiyo huyu yaani nilivyotegemea na niliyokutana nayo ni vitu viwili tofauti

Kosa ni kumuambia kwanini unamtumia picha zako mwanaume mwingine? Aisee akanyanyuka juu akachukua simu kuwapigia wazazi wake na kudai namnyanyasa aisee sasa wakati anataka kuongea na wazazi wake mie nilikuwa natoka nje aisee akanivuta na kunipiga ngumi kali aisee aisee na akasema anajuta kuolewa na mimi.

Kuna mbinu nataka niifanye kwamba nimpeleke kwao akasalimie na hapo nitampiga chini mazima no calling za simu no SMS yaani nitamchana kwamba mimi na wewe ni basi. Kama mahari nitarudishiwa it is ok kama sitarudishiwa pesa ni makaratasi hasara roho na nahisi ipo siku atanichoma kisu huyu mwanamke aisee.

Mkuu kwani mpaka hapo bado hujajua dalili za mimba tu?
 
kwamba sababu ni hiyo tu,lahasha kuna vingine mkuu hujaviandika humu
 
Wewe inaonekana unamnyanyasa mke wako kwa kigezo cha mahali, Mke hanunuliwi sababu sio bidhaa mahali ni utaratibu wa kijamii..mke muone katika utu wake au personality sababu hizo ndio zimekufanya umchague kati ya wale wengi
Kigezo cha mahali kubwa au ndogo,uzuri au ubaya sio vigezo vya mke,
Mkuu Tofautisha MAHALI NA MAHARI
 
Back
Top Bottom