Sapphire Blue
Member
- Apr 20, 2022
- 10
- 20
Kwann unaandika aisee nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii chai, hamna kitu hapo.Hivi nifanyeje? Na ukizingatia nimetoa mahari kubwa na kuna kiasi bado na nadaiwa kule kwao na ukizingatia mwanamke mwenyewe ndiyo huyu yaani nilivyotegemea na niliyokutana nayo ni vitu viwili tofauti
Kosa ni kumuambia kwanini unamtumia picha zako mwanaume mwingine? Aisee akanyanyuka juu akachukua simu kuwapigia wazazi wake na kudai namnyanyasa aisee sasa wakati anataka kuongea na wazazi wake mie nilikuwa natoka nje aisee akanivuta na kunipiga ngumi kali aisee aisee na akasema.anajuta kuolewa na mimi.
Kuna mbinu nataka niifanye kwamba nimpeleke kwao akasalimie na hapo nitampiga chini mazima no calling za simu no SmS yaani nitamchana kwamba mimi na wewe ni basi. Kama mahari nitarudishiwa it is ok kama sitarudishiwa pesa ni makaratasi hasara roho na nahisi ipo siku atanichoma kisu huyu mwanamke aisee.
Uamuzi mzuriHivi nifanyeje? Na ukizingatia nimetoa mahari kubwa na kuna kiasi bado na nadaiwa kule kwao na ukizingatia mwanamke mwenyewe ndiyo huyu yaani nilivyotegemea na niliyokutana nayo ni vitu viwili tofauti
Kosa ni kumuambia kwanini unamtumia picha zako mwanaume mwingine? Aisee akanyanyuka juu akachukua simu kuwapigia wazazi wake na kudai namnyanyasa aisee sasa wakati anataka kuongea na wazazi wake mie nilikuwa natoka nje aisee akanivuta na kunipiga ngumi kali aisee aisee na akasema anajuta kuolewa na mimi.
Kuna mbinu nataka niifanye kwamba nimpeleke kwao akasalimie na hapo nitampiga chini mazima no calling za simu no SMS yaani nitamchana kwamba mimi na wewe ni basi. Kama mahari nitarudishiwa it is ok kama sitarudishiwa pesa ni makaratasi hasara roho na nahisi ipo siku atanichoma kisu huyu mwanamke aisee.
Hivi nifanyeje? Na ukizingatia nimetoa mahari kubwa na kuna kiasi bado na nadaiwa kule kwao na ukizingatia mwanamke mwenyewe ndiyo huyu yaani nilivyotegemea na niliyokutana nayo ni vitu viwili tofauti
Kosa ni kumuambia kwanini unamtumia picha zako mwanaume mwingine? Aisee akanyanyuka juu akachukua simu kuwapigia wazazi wake na kudai namnyanyasa aisee sasa wakati anataka kuongea na wazazi wake mie nilikuwa natoka nje aisee akanivuta na kunipiga ngumi kali aisee aisee na akasema anajuta kuolewa na mimi.
Kuna mbinu nataka niifanye kwamba nimpeleke kwao akasalimie na hapo nitampiga chini mazima no calling za simu no SMS yaani nitamchana kwamba mimi na wewe ni basi. Kama mahari nitarudishiwa it is ok kama sitarudishiwa pesa ni makaratasi hasara roho na nahisi ipo siku atanichoma kisu huyu mwanamke aisee.
Mkuu Tofautisha MAHALI NA MAHARIWewe inaonekana unamnyanyasa mke wako kwa kigezo cha mahali, Mke hanunuliwi sababu sio bidhaa mahali ni utaratibu wa kijamii..mke muone katika utu wake au personality sababu hizo ndio zimekufanya umchague kati ya wale wengi
Kigezo cha mahali kubwa au ndogo,uzuri au ubaya sio vigezo vya mke,
Uzi wa kitoto hauna realityhata mimi ubongo unakataa kabisaa.