Masalakulangwasa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 354
- 436
Acha uduanzi nunua petrol tita 3 toka nje usiku mnene imwagie nyumba vyema kabisa piga kiberiti sepa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri umeelewa,kumbuka watu wanachangia humu wakati huo huo wanakimbizana na mambo mengine huko nje,Mkuu Tofautisha MAHALI NA MAHARI
Bwege kabisaa,,Kuna mtu anakula hapo na Kesha mchota akili,, angalien na watu wa kuoa sio mnakimbilia shepu na matako makubwa,,,,,Piga chini tatfta mtu sahihiHivi nifanyeje? Na ukizingatia nimetoa mahari kubwa na kuna kiasi bado na nadaiwa kule kwao na ukizingatia mwanamke mwenyewe ndiyo huyu yaani nilivyotegemea na niliyokutana nayo ni vitu viwili tofauti
Kosa ni kumuambia kwanini unamtumia picha zako mwanaume mwingine? Aisee akanyanyuka juu akachukua simu kuwapigia wazazi wake na kudai namnyanyasa aisee sasa wakati anataka kuongea na wazazi wake mie nilikuwa natoka nje aisee akanivuta na kunipiga ngumi kali aisee aisee na akasema anajuta kuolewa na mimi.
Kuna mbinu nataka niifanye kwamba nimpeleke kwao akasalimie na hapo nitampiga chini mazima no calling za simu no SMS yaani nitamchana kwamba mimi na wewe ni basi. Kama mahari nitarudishiwa it is ok kama sitarudishiwa pesa ni makaratasi hasara roho na nahisi ipo siku atanichoma kisu huyu mwanamke aisee.