Jana nimepigwa ngumi na mke wangu na amesema anajuta kuolewa na mimi

Wewe inaonekana unamnyanyasa mke wako kwa kigezo cha mahali, Mke hanunuliwi sababu sio bidhaa mahali ni utaratibu wa kijamii..mke muone katika utu wake au personality sababu hizo ndio zimekufanya umchague kati ya wale wengi
Kigezo cha mahali kubwa au ndogo,uzuri au ubaya sio vigezo vya mke,
 
kama vile umegeuza betri?.
 
dronedrake hebu toa neno moja kwa huyu dogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ