Jana nimepigwa ngumi na mke wangu na amesema anajuta kuolewa na mimi

Acha uduanzi nunua petrol tita 3 toka nje usiku mnene imwagie nyumba vyema kabisa piga kiberiti sepa
 
Cha kufanya hapo ni kitu kimoja tu braza. Mie nina connection na dulla mbabe, ibrahim class na mwakinyo, njoo pm bs tuongee mkeo anaweza akaw anatengeneza hela nying sana kaka
 
Bwege kabisaa,,Kuna mtu anakula hapo na Kesha mchota akili,, angalien na watu wa kuoa sio mnakimbilia shepu na matako makubwa,,,,,Piga chini tatfta mtu sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…