Jana usiku Mashabiki mbumbumbu wa Tanzania ndio wamejua Al Ahly ni bora kuliko Mamelodi!

Jana usiku Mashabiki mbumbumbu wa Tanzania ndio wamejua Al Ahly ni bora kuliko Mamelodi!

Droo ya robo fainali ilipotoka nilishangaa watu kuwaogopesha yanga kuwa mamelodi watawafunga na kuwapongeza Simba kuwa wamepangwa na vibonde.

Ashakhum si matusi, mashabiki wabongo pamoja na wachambuzi ni vilaza.

Kwaaliyefuatiliamechi zote za CAFCL atakubali kuwa Al Ahly bado ni timu kubwa na itachukua hili kombe tena. Ndio timu yenye mafanikio zaidi Africa, Mamelodi ni kama yanga tu wameibuka juzi juzi.

Ile droo ilikuwa ni zuga tu wakipanga kulinganana ubora, timu kubwa kwa timu kubwa na ndogo kwa ndogo.

Al ahly kumfananisha na mameledy ni dharau kubwa sana, au kwa vile wale ni waarabu ndio maana! Maana ukifuatilia kwenye mitandao utaona waafrika wengine ni wabaguzi sana na chuki zikiwatesa dhidi ya timu za kaskazini
 
Pia ndio mabingwa wa African Footbal League, jamaa kutolewa kwenye michuano haimaanishi kwamba wao ni vibonde
Haijalishi, al ahly walianza kama mchicha na sasa tunavyoongea ndio mabingwa mara nyingi Afrika, pamoja na changamoto za ubaguzi wanazopitia waarabu ila ndio wanaofanya vizuri.

Waarabu nawakubali, ni mmoja katika mashabiki wa NORTH, In short hawanipi stress.
 
Mazembe kanyimwa goli zuri sana ila mpira basi tu lakini Kuna vitu so unfair sema ndio hivyo kesho tena mnarudi uwanjani hakuna namna
Lingemsaidia nini kwa mfano! Nilichofurahia waarabu wameingia fainali, maana wengi walikua upande wa weusi, huo ni ubaguzi.

Al ahly bingwa💪🏽
 
Head to head Al Ahly vs Mamelody Sundowns kwa miaka mitano mfululizo "2019-2024" Al Ahly ni Mchumba tu, tena hizo 5 zimejirudia nyingi na 4, ila Mbumbumbu hamna hata chembe ya uelewa, Aden Rage ajengewe sanamu haraka sana iwezekanavyo.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
head to head yanyokwe☹️☹️hao mamelodi wana ubingwa wa champion league?
 
Hao unaowadharau walimdunda huyo unayemsifia goli 5 tena sio za penalty, wenyewe wanawashukuru Esperance kwa kuwatoa kwenye mashindano maana wangekutana fainali wanajijua wasingetoboa

Pole sana, nilichofurahia waarabu wote wamepita

Al ahly bingwa💪🏽
 
head to head yanyokwe☹️☹️hao mamelodi wana ubingwa wa champion league?
Yani wanamfananisha mamelodi na al ahly kweli!, tena wa juzi tu mwenye kakombe kamoja sijui tuwili kama sikosei, na kikombe 😄 al ahly kwa miaka mingi amewatesa
 
Al Ahly hawezi kutoboa kwa Es Tunis hata siku moja!

Esperance aliempiga mamelody nje ndani, anaenda kupata kipigo kikubwa kwa mafarao, wenye makombe yao

Nilichofurahia waarabu wameingia fainali, hawanaga shobo
 
Lingemsaidia nini kwa mfano! Nilichofurahia waarabu wameingia fainali, maana wengi walikua upande wa weusi, huo ni ubaguzi.

Al ahly bingwa💪🏽
Alitangulia kufunga huwenda lingempa confidence na game approach ingekuwa tofauti
Vipi na si tuliokuwa esperance tulikuwa tunambagua nani!?
 
kwani yanga si alidraw na huyu jamaa home then away akapigwa 1,je hawa paka fc waliweza hata kutoa sare?
 
Jana nimedharau sana soka la Afrika nimeongeza kipimo cha dharau. Afrika ni takataka kwenye kila kitu.
Kwahiyo ulitaka al ahly watolewe? Basi kama unaamini goli la tp ni halali basi fanya hivi 3-1, so mazembe won sio?

Nilichofurahia waarabu wameingia fainali, maana wanabaguliwa sana
 
Alitangulia kufunga huwenda lingempa confidence na game approach ingekuwa tofauti
Vipi na si tuliokuwa esperance tulikuwa tunambagua nani!?

Ulikua esperance kwa sababu ipi? Na je yanga asingefanyiwa umafia ungemshabikia nani jana hiyo esp au mamelodi?

Na kusema "huwenda lingempa confidence hahhaaa, unadhani tp mazembe ana uwezo wa kumtoa bingwa mara nyingi Afrika! Wacha watolewe, maana kuna wabaguzi na wenye chuki dhidi ya waarabu, acha waumie, ahly bingwa 💪🏽 safiiiii safiiiiiii safiiiiii
 
Mamelodi toka amehama kwenye mfumo wake wa uchazaji amebadilika na kuwa kawaida.Nadhani Bado wanahitaji kuboresha mbinu za kutafuta goli pale mpinzani anapokuwa na idadi kubwa ya wachezaji kwenye final third

Nguvu ya soda huyo halafu anafansnishwa na Madrid/Barcelona wa Afrika😄 ni dharau kubwa sana

Ahly bingwa 💪🏽
 
Al ahly hii ilipata shida kumfunga Yanga kuliko timu yoyote Kwenye msimu huu wa cafcl 2023/2024
 
Al ahly kumfananisha na mameledy ni dharau kubwa sana, au kwa vile wale ni waarabu ndio maana! Maana ukifuatilia kwenye mitandao utaona waafrika wengine ni wabaguzi sana na chuki zikiwatesa dhidi ya timu za kaskazini
Hao jamaa aly ahly wamefungwa goli moja tu mpk sasa ktk cafcl
 
Back
Top Bottom