"Jana usiku Raisi wa Somalia Mogadishu amelala kwenye Kibanda cha Mbuzi, kuna tetesi Amekimbilia kusikojulikana"

"Jana usiku Raisi wa Somalia Mogadishu amelala kwenye Kibanda cha Mbuzi, kuna tetesi Amekimbilia kusikojulikana"

Hiyo ni hadithi ilioyongezewa baada ya mtume kufariki

Kumbuka Mtume mwenyewe hakuamrisha korani kuwa kitabu mpaka wakati wa kifo chake kulikuwa na watu waliomsikia akisema hao ni wanaitwa "mahafidhi" na Binadamu kama ujuavyo huwa ana wivu anajua uongo pamoja husda.

Nioneshe aya inayomwambia Mtume Aandike kitabu cha Koraan?! Halafu tuendelee
 
Brother unafikaje Somaliland tukajiopolee watoto wazuri
Unaenda Nairobi Kuna ofisi ndogo ya Ubalozi wa Somaliland unagongewa Viza unachukua Ethiopian Airlines au Africa Express to Hargeisa via Adiss Ababa.
Karibia Kenya Airways wanaanzisha Direçt flights.
 
Hizi porojo ndio huwa zinawaponza... Mtachakaa saana
Wewe mbona una kadi yao.
Wewe hujui siasa unachojua ni Udini ningefurahi siku upelekwe Lebanon ukawe khadam hata ukiswali vipi wao wewe kwao ni kijakazi mweusi tu.

Wewe jifanye Mdiini mimi nimezunguka Bara la Arabu karibia Lote kwao mimi hata nikiwa na sjida kama kitumbua ni Abidi Adua laahu.

Hata hadithi sahihi zinasema mwisho wa Uisilamu ni Muhabeshi ndio atakayevunjavunja Kaaba.

Sasa usijifanye kimbelembele saana kwa taarifa yako Wasomali wanaingia Ukristo kwa Makundi haswa Wasomali Wa Somaliland wamemkubali Kristo Mwokozi na kazi Eanayoifanya JAMHURI TUKUFU YA KENYA ni kuhakikisha wanasambaza Gospel Kisimayu
WaKush wametajwa ndani ya Bible mara nyingi tu ila mtu mweusi aliyetajwa Kwenye kuruani ni Bilal al Habshi yaani Bilali Mtumwa wa kihabeshi.lengo la Waarabu no kufuta Historia ya watu Weusi kwenye maandishi

Na wewe dada yangu mishipa inakutoka ukisikia ukweli
 
Thank you Jesus Wasomali Wameokoka Haleluya!!..

Uhuru Muigai Abarikiwe!
 
Roho Mtakatifu ndie anyeongea Hapa.
 
Kuna haja ya JF kuanzisha Jukwaa la kupima watu akili [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna haja ya JF kuanzisha Jukwaa la kupima watu akili [emoji23][emoji23][emoji23]
Sina wasiwasi kabisa na haya ninenayo uisilamu unapukutika ndani ya Wasomali kuanzia jabuti hadi kenya mimi nakuwekea ushahidi wewe unaweka Porojo BWANA YESU ASIFIWE.
 
Mwenye quran kuna hadith?
Hiyo ni hadithi ilioyongezewa baada ya mtume kufariki

Kumbuka Mtume mwenyewe hakuamrisha korani kuwa kitabu mpaka wakati wa kifo chake kulikuwa na watu waliomsikia akisema hao ni wanaitwa "mahafidhi" na Binadamu kama ujuavyo huwa ana wivu anajua uongo pamoja husda.

Nioneshe aya inayomwambia Mtume Aandike kitabu cha Koraan?! Halafu tuendelee
 
Hao Wikipedia ndo Nani katika UISLAM?
The burqa and other types of face veils have been attested since pre-Islamic times, in particular among Pashtun and Arab women. Face veiling has not been regarded as a religious requirement by most Islamic

Source:Wilipedia.
 
Mwenye quran kuna hadith?
Kweni kuraani ninini? matukio yaliorekodiwa kutoka katika Toraah Injili kama ile hadithi ya mussa na Farao ni hadidhi zilizotikea miaka 3000 iliyopita huko Misri wala hazikutokea mbinguni ni hapapo Memphis Baadhi ya matukio ya Utawala wa Wahabeshi katika Bara Arabu. Au unafikiri ni kitabu kilichoshushwa kwa Parachute.
 
Back
Top Bottom