Janga gani lilikukuta baada ya kuexpose mafanikio yako public?

Janga gani lilikukuta baada ya kuexpose mafanikio yako public?

Supercomputer

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2021
Posts
634
Reaction score
1,311
Vipi wakuu;

Katika harakati za maisha, wengi wetu tuna ile kasumba kutaka kuwaprove wrong ndugu jamaa na jamii inayotuzunguka kwamba wasikuchukulie poa kwa kuonyesha progress zako, bila kujua kwamba watu hawafurahii positive changes especially watu wa uswahilini.

Binafsi baada ya kustruggle miaka miwili mtaani kiasi Cha kushindwa kupata hata buku kwa siku, nikafanikiwa kupata kamchongo ka kupata mia mbili mia tatu. Mdogomdogo, nikaanza kuwa na discipline na pesa na kufanya maendeleo.

Washkaji mtaani wakagutuka mbona jamaa sikuhizi amechange life si unajua pesa haijifichi😀😀.Siku moja wakaniuliza, mzee vipi Mambo si haba unakula maisha tu. Hapo ndipo nikafunguka kuhusu michongo yangu si unajua Wana tena!!.

Daah Kama vile nilijambia moto, mwezi mmoja baadae nilifukuzwa job bila sababu ya kueleweka nikawa kapuku zaidi ya mwanzo na nikajifunza kuwa msiri kwenye ishu zangu.

Je ushawahi kukutana na hali Kama hii?

"In life, we either learn or earn".
 
.
IMG_20230709_145059.jpg
 
Sio busara kuzungumzia mambo yanayoendelea ktk maisha yako kwa mtu yeyote yule. Utashi baina ya watu hutofautiana jinsi wanavyoyapokea hayo mambo, pia hukujengea pressure kubwa sana ya kuendelea kutoa updates on regular basis.
 
Tajiri wa Imalaseko aliuliza bungeni mbona hakuna case study za mafanikio ya matajiri wazito katika nchi hii huko vyuo vyote vinavyosimamiwa na TCU huenda matajiri wanaogopa kuweka wazi Siri ya mafanikio yao sababu hizo hizo zinazoshauriwa humu JF.

Jizoeshe kusoma gazeti la FT ( Financial Times) ingia hata apps ya FT ujionee biashara za wenzetu zinavyowekwa wazi mafanikio au hasara wapapatazo na harakati za uendeshaji wa biashara zao,jinsi ushindani wa biashara ulivyo kampuni kubwa za kidunia taarifa zao zipo FT .

Nadhani wao labda Wana kautamaduni aliye juu mpandie ngazi labda tofauti na kasumba zetu aliye juu mngoje chini,sad.
 
Vipi wakuu;

Katika harakati za maisha, wengi wetu tuna ile kasumba kutaka kuwaprove wrong ndugu jamaa na jamii inayotuzunguka kwamba wasikuchukulie poa kwa kuonyesha progress zako, bila kujua kwamba watu hawafurahii positive changes especially watu wa uswahilini.

Binafsi baada ya kustruggle miaka miwili mtaani kiasi Cha kushindwa kupata hata buku kwa siku, nikafanikiwa kupata kamchongo ka kupata mia mbili mia tatu. Mdogomdogo, nikaanza kuwa na discipline na pesa na kufanya maendeleo.

Washkaji mtaani wakagutuka mbona jamaa sikuhizi amechange life si unajua pesa haijifichi[emoji3][emoji3].Siku moja wakaniuliza, mzee vipi Mambo si haba unakula maisha tu. Hapo ndipo nikafunguka kuhusu michongo yangu si unajua Wana tena!!.

Daah Kama vile nilijambia moto, mwezi mmoja baadae nilifukuzwa job bila sababu ya kueleweka nikawa kapuku zaidi ya mwanzo na nikajifunza kuwa msiri kwenye ishu zangu.

Je ushawahi kukutana na hali Kama hii?

"In life, we either learn or earn".
Mimi nisipojitangaza ndio sitoboi kwa sababu mafanikio yangu yana mkono wa Mungu hivyo ni muhimu watu wajue ili iwe ushuhuda kwao kwamba Mungu akikuinua anakuinua kwelikweli.
 
Tajiri wa Imalaseko aliuliza bungeni mbona hakuna case study za mafanikio ya matajiri wazito katika nchi hii huko vyuo vyote vinavyosimamiwa na TCU huenda matajiri wanaogopa kuweka wazi Siri ya mafanikio yao sababu hizo hizo zinazoshauriwa humu JF.

Jizoeshe kusoma gazeti la FT ( Financial Times) ingia hata apps ya FT ujionee biashara za wenzetu zinavyowekwa wazi mafanikio au hasara wapapatazo na harakati za uendeshaji wa biashara zao,jinsi ushindani wa biashara ulivyo kampuni kubwa za kidunia taarifa zao zipo FT .

Nadhani wao labda Wana kautamaduni aliye juu mpandie ngazi labda tofauti na kasumba zetu aliye juu mngoje chini,sad.
Achana nao hawaweki wazi ya ndani
 
Vipi wakuu;

Katika harakati za maisha, wengi wetu tuna ile kasumba kutaka kuwaprove wrong ndugu jamaa na jamii inayotuzunguka kwamba wasikuchukulie poa kwa kuonyesha progress zako, bila kujua kwamba watu hawafurahii positive changes especially watu wa uswahilini.

Binafsi baada ya kustruggle miaka miwili mtaani kiasi Cha kushindwa kupata hata buku kwa siku, nikafanikiwa kupata kamchongo ka kupata mia mbili mia tatu. Mdogomdogo, nikaanza kuwa na discipline na pesa na kufanya maendeleo.

Washkaji mtaani wakagutuka mbona jamaa sikuhizi amechange life si unajua pesa haijifichi[emoji3][emoji3].Siku moja wakaniuliza, mzee vipi Mambo si haba unakula maisha tu. Hapo ndipo nikafunguka kuhusu michongo yangu si unajua Wana tena!!.

Daah Kama vile nilijambia moto, mwezi mmoja baadae nilifukuzwa job bila sababu ya kueleweka nikawa kapuku zaidi ya mwanzo na nikajifunza kuwa msiri kwenye ishu zangu.

Je ushawahi kukutana na hali Kama hii?

"In life, we either learn or earn".
Unajuaje kufukuzwa kazi kwako kunahusiana na wewe kutoa habari zako, na si kwa sababu nyingine tu?

Mimi sina mafanikio kihivyo, lakini nikielezea maisha yangu ninayoyaona ya kwaida tu, watu wananiomba sana hela.
 
Usitangaze mipango yako,vitu vinavyokupa furaha, mafanikio yako, etc hiyo ni kanuni ya kiroho. ukivunja hiyo kanuni tarajia mikwamo na kutofanikiwa.
"kanuni ya kiroho" upande wa giza ama wa Nuru.

sisi tulioko upande wa Nuru kuyasema mafanikio yetu ni ushuhuda kwa jinsi MUNGU anavyotuinua kutoka chini kwenda juu. ni furaha sana kuyataja tuliyofanikishwa na MUNGU wetu!


Jesus saves
 
Back
Top Bottom