Rudi jukwaa la siasa, hujui mpira na hujui kinachoendelea kwenye mpira. Taarifa ya kwanza kutoka ambayo ilikuwa na maelezo yote ni mahojiani ya Rais wa Namungo na mwandishi wa bongo, hiyo clip ndio imetoa taarifa iliyofanyiwa kazi na Serikali ( PM) na TFF. Au ulidhani Majaliwa na TFF wameota tu Namungo wapo ndani ya kambi ya jeshi?
Bado hujajibu swali kwa nini flight nzima wamewekwa quarantine msafara wa Namungo tu huku watu wengine wakiruhusiwa kuendelea, kwa nini kama wapo neg wawekwe quarantine tena chini ya mitutu ya jeshi? Rudi jukwaa la siasa ukapige porojo hujui mpira na hujui siasa za mpira wa Africa.