Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Duh...!.
P
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe Kama mwenyekiti wa SADC kwa sasa.Sidhani kama hii habari ni kweli.Jiwe anaweza kuwa ana mapungufu yake,lkn si busara kumshutumu katika mambo ambayo si ya kweli.
Ukitembelea mtandao wa Ikulu ya Afrika Kusini,utaona ni mkutano wa nchi zinazopakana na Afrika Kusini na sio nchi za Africa nzima wanachama wa AU
Asante kwa ufafanuziSidhani kama hii habari ni kweli.Jiwe anaweza kuwa ana mapungufu yake,lkn si busara kumshutumu katika mambo ambayo si ya kweli.
Ukitembelea mtandao wa Ikulu ya Afrika Kusini,utaona ni mkutano wa nchi zinazopakana na Afrika Kusini na sio nchi za Africa nzima wanachama wa AU
Alipo ambiwa andaa mkutano kwa kinge....duh kala kona spidi mia ishirini
Rais wetu mzalendo anatumikia watanzania hayo mengine hayatuhusu..
Na majuzi tu Yoweri Museveni pia aliamua kumchana liveNimeona hii, jamaa yetu anawaangusha sana wenzie, bora tu aachie huo uenyekiti wa SADC.
Jamaa yetu anataka wawasiliane kwa maandishi.
Ramaphosa hajaridhika na uamuzi wake kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesikia kwenye periscope ya rais wa afrika kusini.Sidhani kama hii habari ni kweli.Jiwe anaweza kuwa ana mapungufu yake,lkn si busara kumshutumu katika mambo ambayo si ya kweli.
Ukitembelea mtandao wa Ikulu ya Afrika Kusini,utaona ni mkutano wa nchi zinazopakana na Afrika Kusini na sio nchi za Africa nzima wanachama wa AU
... duh vipi kiongozi? Mkiambiwa tazama nazi hii mnakuwaga wakali kama nini wakati kila mwenye akili timamu anaona kabisa hii ni nazi na sio kitu chengine.Duh...!.
P