Janga la COVID-19: Rais Cyrill Ramaphosa aitisha mkutano wa nchi jirani na SA

Janga la COVID-19: Rais Cyrill Ramaphosa aitisha mkutano wa nchi jirani na SA

Kafeli miserably lakini muda wake umeisha ila atagombea tena
 
Sidhani kama hii habari ni kweli.Jiwe anaweza kuwa ana mapungufu yake,lkn si busara kumshutumu katika mambo ambayo si ya kweli.

Ukitembelea mtandao wa Ikulu ya Afrika Kusini,utaona ni mkutano wa nchi zinazopakana na Afrika Kusini na sio nchi za Africa nzima wanachama wa AU
Jiwe Kama mwenyekiti wa SADC kwa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eee Mungu hatukulaumu huu msiba tulijitakia wenyewe.
 
Ramaphosa kaitisha kikao cha nchi zinazoizunguka na ndizo zenye waathirika wengi wa COVID 19 SA.

Kuwa Mwenyekiti lazima uwe na msimamo. Vikao vya SADC huandaliwa na Secretariat na siyo Nchi.

Tanzania ni Baba lao na wote hao tumewapa Uhuru kupitia kambi za Mazimbu, Dakawa n.k.
 
Kwisha habari yake CCM Mpya kwa kukosa weledi na kwa kutegemea kujificha nyuma ya 'uzalendo feki' kwa kutaka kulazimisha kutumia kiSwahili ktk masuala ya kimataifa na ya kitaaluma.

Ona sasa hata kuongoza jumuiya ya kikanda imemshinda Rais John Pombe Joseph Magufuli.

Maneno mazito na ya wazi ya Rais wa South Africa kupingana kwa hoja nzuri kabisa kuwa SADC haiwezi kusubiri changamoto za 'logistics' za mwenyekiti wa SADC / Rais John Pombe Joseph Magufuli ni pigo kubwa sana kisiasa na kidiplomasia kwa Tanzania na ni aibu nzito kwetu kama nchi.
 
Sidhani kama hii habari ni kweli.Jiwe anaweza kuwa ana mapungufu yake,lkn si busara kumshutumu katika mambo ambayo si ya kweli.

Ukitembelea mtandao wa Ikulu ya Afrika Kusini,utaona ni mkutano wa nchi zinazopakana na Afrika Kusini na sio nchi za Africa nzima wanachama wa AU
Asante kwa ufafanuzi
 
duh kala kona spidi mia ishirini
Alipo ambiwa andaa mkutano kwa kinge....
20200503_221233.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama hii habari ni kweli.Jiwe anaweza kuwa ana mapungufu yake,lkn si busara kumshutumu katika mambo ambayo si ya kweli.

Ukitembelea mtandao wa Ikulu ya Afrika Kusini,utaona ni mkutano wa nchi zinazopakana na Afrika Kusini na sio nchi za Africa nzima wanachama wa AU
Nimesikia kwenye periscope ya rais wa afrika kusini.

Hakuna uongo hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom