Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Bia yetu
Magonjwa Mtambuka
johnthebaptist
Mna kazi nzito sana ya kutetea, kwa moyo mkunjufu natamani muongezewa jspo posho ifikie 50k/per day
Kazi yenu ni ngumu, najua kuna wakati mioyo inasita kutetea lakini mtafanyaje kazi ni kazi.
Poleni sana. Binafsi simchukii rais wangu lakini kuna vitu vingi vimepungua lazima tuuseme ukweli.
Hii ni aibu ya taifa, tumekuwa kituko kwa mataifa...huku nyumbani ndio mambo vululuvululu...mastelingi ni akina Makonda.
Mungu atusaidie sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Magonjwa Mtambuka
johnthebaptist
Mna kazi nzito sana ya kutetea, kwa moyo mkunjufu natamani muongezewa jspo posho ifikie 50k/per day
Kazi yenu ni ngumu, najua kuna wakati mioyo inasita kutetea lakini mtafanyaje kazi ni kazi.
Poleni sana. Binafsi simchukii rais wangu lakini kuna vitu vingi vimepungua lazima tuuseme ukweli.
Hii ni aibu ya taifa, tumekuwa kituko kwa mataifa...huku nyumbani ndio mambo vululuvululu...mastelingi ni akina Makonda.
Mungu atusaidie sana
Sent using Jamii Forums mobile app