barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,739
- 32,880
Nimeelewa baada ya kuona na kusikiliza videoSasa mkuu tuanzishe uzi wa kumtuhumu Rais kwa mambo makubwa hivyo kwa uongo ili itusaidie nini? Huyo ndiye kiongozi uliyekuwa ukimpigania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeelewa baada ya kuona na kusikiliza videoSasa mkuu tuanzishe uzi wa kumtuhumu Rais kwa mambo makubwa hivyo kwa uongo ili itusaidie nini? Huyo ndiye kiongozi uliyekuwa ukimpigania.
Dah!..kumbe ni kweli?Nimeelewa baada ya kusikia video.Asante sana..mimi nilipotoka kudhani Rais wetu anasingiziwa
Sikiliza au angalia hizo videoSidhani kama hii habari ni kweli.Jiwe anaweza kuwa ana mapungufu yake,lkn si busara kumshutumu katika mambo ambayo si ya kweli.
Ukitembelea mtandao wa Ikulu ya Afrika Kusini,utaona ni mkutano wa nchi zinazopakana na Afrika Kusini na sio nchi za Africa nzima wanachama wa AU
Ni kweli...nimesikiliza!Mtoa mada yupo sahihi,mwanzo nilidhani ni kumpaka Rais rangi ambayo si yake
Jamani pia tujivunie kwa kuwa na presida alopinda, analalamika akina mbowe kukwepa vikao kumbe yeye ndo nambali wahed kwa ukwepaji, na pension hasipeweMwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini Mwa Africa (SADC), Rais John Pombe Joseph Magufuli, aligoma kuitisha kikao cha Wakuu wenzake wa Jumuiya hiyo kilichofanyika mapema leo kwa njia ya Conference Call, licha ya kushauriwa kufanya hivyo na Rais Cyrille Ramaphosa wa South Africa. Kufuatia Uamuzi huo wa Rais Magufuli, Rais Ramaphosa aliamua kuitisha kikao hicho licha ya kutokuwa na cheo chochote katika Jumuiya hiyo. Rais Magufuli hakushiriki maana yeye alitaka Wakuu wenzake wamtumie maoni yao kwa maandishi.
CCM mna mzigo mkubwa mno mmeubeba japo mmejikaza kisabuni, Poleni sana.
Cyril Ramaphosa @CyrilRamaphosa
... teleconference inatisha asikwambie mtu! Kama haujajipanga inakutia aibu vibaya sana.Hivi tele conference ina tatizo gani. Natumaini kila mmoja yuko kwake na yuko salama kwa corona.
Duh...!.
P
Sasa si arudi ikulu ?Alipo miundombinu haisapoti mkutano mtandao.
Hili swala ni kweli ila bado sidhani Rais anaweza kosa mtandaoHayupo chato, yupo kibondo
Sidhani kama hii habari ni kweli.Jiwe anaweza kuwa ana mapungufu yake,lkn si busara kumshutumu katika mambo ambayo si ya kweli.
Ukitembelea mtandao wa Ikulu ya Afrika Kusini,utaona ni mkutano wa nchi zinazopakana na Afrika Kusini na sio nchi za Africa nzima wanachama wa AU
President @CyrilRamaphosa has convened and will today chair a virtual consultative meeting with Heads of State and Government of countries neighbouring South Africa to discuss responses to the #coronavirus (COVID-19) pandemic. President Ramaphosa convenes a virtual meeting with Heads of State and Government of countries neighbouring South Africa to discuss responses to COVID-19 | The Presidency
------------------------------------------------
Nimerudi tena kusikiliza video,nimejiridhisha ni kweli kuwa Rais wetu hakutaka kushiriki sbb ya changamoto za "logistics"....
Unadhani hawamshauri?leo mzee mzima kachemsha yaani kama Mwenyekiti wa SADC hana excuse ya kukosa mkutan na head of states! Ndo maana nilisema atoe Chato akae Dodoma kama capital city! Kwenye crisis management nampa 0/10! Sasa mbona Mkapa (Guardian wake) asimshauri? Kama Kabudi kashindwa?
Preizi tim wea yu at?
Hili swala limevujishwa makusudi na litatuharibia maana hatutoi ushirikianoNi kweli...nimesikiliza!Mtoa mada yupo sahihi,mwanzo nilidhani ni kumpaka Rais rangi ambayo si yake
... haliwezi kupelekea mivutano ya kidiplomasia kati ya SA na Tanzania? Maana ni maneno ya SA Head of State mwenyewe! Just thinking.Hili swala limevujishwa makusudi na litatuharibia maana hatutoi ushirikiano
Sent using Jamii Forums mobile app