Janga la COVID-19: Rais Cyrill Ramaphosa aitisha mkutano wa nchi jirani na SA

Janga la COVID-19: Rais Cyrill Ramaphosa aitisha mkutano wa nchi jirani na SA

Nini hakieleweki Mkuu? .... baada ya Mwenyekiti wa SADC kuombwa na kugoma kuitisha kikao cha nchi wanachama Ramaphosa angefanyaje? Aliamua kuitisha cha nchi anazopakana nazo. But the best would be SADC summit to discuss the pandemic! Consigliere
Yes, Ramaphosa ametoa maelezo kama haya. Ni kwamba Ramaphosa aliwasiliana na mwenyekiti wa SADC, Magufuli, juu ya umuhimu wa kuitisha kikao cha nchi wanachama kujadili Coronavirus. Sasa jibu alilopewa Cyril ni kuwa meeting haitawezekana, logistics and blah blah na kuwa viongozi wapeleke mapendekezo yao in writing and all that 😂😂😂 Jinsi Ramaphosa alivyoisema hiyo ALL THAT sasa...
Sasa Ramaphosa alipoona meeting ya SADC haitakuwepo ndio akaamua ku take initiative ya kuitisha mkutano na nchi jirani na South Africa. Sasa nchi jirani na South Africa ndio hao hao members wa SADC.
 
Huu ni mkutano wa wakuu wa kanda za Afrika uliofanyika kwa video kujadili masuala ya vita dhidi ya Corona. Rais Magufuli ambaye ni mwenyekiti wa SADC alitajwa kutokuhudhuria mkutano huo kwa njia ya mtandao.

Ramaphosa amesema aliwasiliana na Rais Magufuli akamweleza kushindwa kushiriki kutokana na changamoto za kilojistiki na kumuahidi atawasilisha mapendekezo yake kwa njia ya maandishi
Ufafanuzi makini sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ramaphosa amechanganyikiwa tu baada ya lock down kufeli.anatafuta mchawi
Tupo kwenye vita kali sana,asitake.kututoa kwenye reli,kama ameona kumchafua Rais wetu ndio ahueni ya matatizo yake ya kisiasa ni sawa tu
 
Kwani hapo burigi kuna speedy internet connection kuweza ku-facilitate hiyo video conferencing, mkiambiwa logistics hazijakamilika muwe mnaelewa basi..
 
Uyo Raisi wa Afrika Kusini anataka kujiona yeye yuko juu na Kuamua anavyotaka yeye ! Yeye hana cheo chochote SADC, iweje aitishe Kikao SADC ? Kwani Unapomshauri mtu ni lazima Ushauri Wako hauchukue . . Huyu jamaa anataka Kujifanya yeye Trump wa Africa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom