mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Sasa kwanini ushindwe kuongea Kiingereza wkt umekitumia tangu Primary,Secondary,University,Kazini.Tunaishi kwenye nchi ambayo ili uonekane unaakili naumesoma sharti ujue kuongea english,.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwanini ushindwe kuongea Kiingereza wkt umekitumia tangu Primary,Secondary,University,Kazini.Tunaishi kwenye nchi ambayo ili uonekane unaakili naumesoma sharti ujue kuongea english,.
Hata kwenye video conferencing translation inawezekana.Ila labda niseme kwamba sisi hatuna vifaa vinavyowezesha translation. Anyway,hitaji limeonekana,nadhani vifaa vitanunuliwa kama havipo.Hata hivyo wahusika wameahidiwa kwamba a written response will be sent,ingawa sidhani kwamba it is the best option under the circumstances.Katika on phone conversation, inakuwaga shida maana uendeshwaji wake siyo kama ana kwa ana. Kila mmoja anakuwa kwake ....
ahahahahaaaaa . . . . . . . you make sense somehowHalafu mtu atasema Tanzania ni taajiri mbele yangu nimpige kichwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ulikurupuka kutokea Kujifukiza ama?😀Sidhani kama hii habari ni kweli.Jiwe anaweza kuwa ana mapungufu yake,lkn si busara kumshutumu katika mambo ambayo si ya kweli.
Ukitembelea mtandao wa Ikulu ya Afrika Kusini,utaona ni mkutano wa nchi zinazopakana na Afrika Kusini na sio nchi za Africa nzima wanachama wa AU
President @CyrilRamaphosa has convened and will today chair a virtual consultative meeting with Heads of State and Government of countries neighbouring South Africa to discuss responses to the #coronavirus (COVID-19) pandemic. President Ramaphosa convenes a virtual meeting with Heads of State and Government of countries neighbouring South Africa to discuss responses to COVID-19 | The Presidency
------------------------------------------------
Nimerudi tena kusikiliza video,nimejiridhisha ni kweli kuwa Rais wetu hakutaka kushiriki sbb ya changamoto za "logistics"....
Issue hapa ni lugha ya mawasiliano kwa mataifa mengi.Lakini hata hapa kwetu lugha rasmi kwa Elimu ya secondary hadi vyuo ni hiyoMkuu kingereza si lugha tu Kama lugha zengne kisukuma,kihehe,kinyaksusa wala haimaanishi ndo kipimo cha akili ya mtu..
Naomba ulijue hiloo
Watanzania tunaugua UKOWANYE - ukondoo wa nyerere. Tutakapo pona wa kutosha ndio mabadiliko yanaweza kuingia vinginevyo tutaendelea kusagwa kama hao kondoo. Na bahati mbays gonjwa hilo lina ambukiza.Nahisi network Chato haiko vizuri kumudu teleconference
Hakuna nchi rahisi kuitawala kama [emoji1241]
Sent using Jamii Forums mobile app
... sio issue ya kucheka Mkuu; bali kulia na kuomboleza! Ni aibu ya taifa letu.Buahahahahhabahauauauauaua buhahahahahhahahaahahhah
Nimecheka sana.
Hahahahahahahahahahahahaha
Kwenye mkutano kama huu mh Mbowe angetusaia, magu kubali Luna watu wamekuzizidi hata kama ni wapinzani wako kisiasaHuu ni mkutano wa wakuu wa kanda za Afrika uliofanyika kwa video kujadili masuala ya vita dhidi ya Corona. Rais Magufuli ambaye ni mwenyekiti wa SADC alitajwa kutokuhudhuria mkutano huo kwa njia ya mtandao.
Ramaphosa amesema aliwasiliana na Rais Magufuli akamweleza kushindwa kushiriki kutokana na changamoto za kilojistiki na kumuahidi atawasilisha mapendekezo yake kwa njia ya maandishi
Mataga walie na mm niungane nao kulia?! Shubamiiit... sio issue ya kucheka Mkuu; bali kulia na kuomboleza! Ni aibu ya taifa letu.
... tangu lini mataga wakawa na uso wa haya mkuu? Hawana aibu wale! Wenye akili timamu kwa issue hii ni aibu.Mataga walie na mm niungane nao kulia?! Shubamiiit
Lengo lilikuwa SADC, baada ya Kukwama ndiyo ameamua kutafuta njia mbadala ya Kufanikisha alichokuwa anakikusudia...Ramaphosa hajaitisha kikao cha SADC,ameitisha kikao cha nchi majirani zake.
Rais wetu anatutangaza kweli kimataifaNimeona hii, jamaa yetu anawaangusha sana wenzie, bora tu aachie huo uenyekiti wa SADC.
Jamaa yetu anataka wawasiliane kwa maandishi.
Ramaphosa hajaridhika na uamuzi wake kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaaduh kala kona spidi mia ishirini
Sasa kama hakuna muelekeo ulitaka afanyaje mzee baba?Lengo lilikuwa SADC, baada ya Kukwama ndiyo ameamua kutafuta njia mbadala ya Kufanikisha alichokuwa anakikusudia...
Sent using Jamii Forums mobile app
Magu hawezi kuingia kwa Mbowe kwenye kujenga hoja na kujieleza. Mbowe ana exposure kubwa sana kimataifa. Magu huwa tunamuelewa sisi tu tunaomshabikia kama Simba na YangaKwenye mkutano kama huu mh Mbowe angetusaia, magu kubali Luna watu wamekuzizidi hata kama ni wapinzani wako kisiasa
Kuna wakalimaniOn phone conference linaweza kuwa tatizo kwa mtu wa lugha ya kusuasua
Basi wataona jinsi ya kulibeba hili jambo, kwa furaha au huzuni, kwa aibu au shangwe. Wataamua wenyewe.... tangu lini mataga wakawa na uso wa haya mkuu? Hawana aibu wale! Wenye akili timamu kwa issue hii ni aibu.