Janga la COVID-19: Rais Cyrill Ramaphosa aitisha mkutano wa nchi jirani na SA

Janga la COVID-19: Rais Cyrill Ramaphosa aitisha mkutano wa nchi jirani na SA

Mapinduzi baridi ktk lugha ya kidiplomasia, lakini ni Mapinduzi tu.

Ramaphosa ni AU chair ana haja gani ya kutaka kuwa SADC chair? Anyway sikulaumu kwa sababu nafahamu tatizo sio issue tunayoongelea bali ni chimbuko la mirija kukatwa kwenye baadhi ya sekta hapa nyumbani. Imekuwa hivyo kwa kipindi tangu JPM achukue mikoba na kufyeka ule utapeli hiyo ndio issue.
 
Teheteheee tehetehee, kwamba jamaa ni kama sisi wakali wa kuandika ila kuongea hatuwezi, sisi hatupendani mambo ya kuongea ongeaa
Nimeona hii, jamaa yetu anawaangusha sana wenzie, bora tu aachie huo uenyekiti wa SADC.

Jamaa yetu anataka wawasiliane kwa maandishi.

Ramaphosa hajaridhika na uamuzi wake kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama hii habari ni kweli.Jiwe anaweza kuwa ana mapungufu yake,lkn si busara kumshutumu katika mambo ambayo si ya kweli.

Ukitembelea mtandao wa Ikulu ya Afrika Kusini,utaona ni mkutano wa nchi zinazopakana na Afrika Kusini na sio nchi za Africa nzima wanachama wa AU
President @CyrilRamaphosa has convened and will today chair a virtual consultative meeting with Heads of State and Government of countries neighbouring South Africa to discuss responses to the #coronavirus (COVID-19) pandemic. President Ramaphosa convenes a virtual meeting with Heads of State and Government of countries neighbouring South Africa to discuss responses to COVID-19 | The Presidency

------------------------------------------------
Nimerudi tena kusikiliza video,nimejiridhisha ni kweli kuwa Rais wetu hakutaka kushiriki sbb ya changamoto za "logistics"....
Malawi wanahudhuria
 
Huu ni mkutano wa wakuu wa kanda za Afrika uliofanyika kwa video kujadili masuala ya vita dhidi ya Corona. Rais Magufuli ambaye ni mwenyekiti wa SADC alitajwa kutokuhudhuria mkutano huo kwa njia ya mtandao.

Ramaphosa amesema aliwasiliana na Rais Magufuli akamweleza kushindwa kushiriki kutokana na changamoto za kilojistiki na kumuahidi atawasilisha mapendekezo yake kwa njia ya maandishi
Hahahahahaha tunajua tatizo ni yai, watz tuliuziwa mbuzi kwenye gunia 2015. Yaani kila kitu tupo kivyetu, hatueleweki.
 
Kimsingi hii ni aibu kubwa juu ya uwezo na Tanzania katika medani za siasa za ushirikiano Afrika.

Natamani kuingia chini ya meza
 
Rais Magufuli ni kiongozi wa kikanda mbali na kuwa Rais wa Tanzania, anatakiwa kuwa mstari wa mbele hata kuonesha ushirika wake kwa watu katika vita hii dhidi ya COVID19! Kwani kule Mjini Chato anafanya nini hasa? Muda sasa tangu yupo Mjini Chato! What's he doing there?
Sidhani kama hii habari ni kweli.Jiwe anaweza kuwa ana mapungufu yake,lkn si busara kumshutumu katika mambo ambayo si ya kweli.

Ukitembelea mtandao wa Ikulu ya Afrika Kusini,utaona ni mkutano wa nchi zinazopakana na Afrika Kusini na sio nchi za Africa nzima wanachama wa AU
President @CyrilRamaphosa has convened and will today chair a virtual consultative meeting with Heads of State and Government of countries neighbouring South Africa to discuss responses to the #coronavirus (COVID-19) pandemic. President Ramaphosa convenes a virtual meeting with Heads of State and Government of countries neighbouring South Africa to discuss responses to COVID-19 | The Presidency

------------------------------------------------
Nimerudi tena kusikiliza video,nimejiridhisha ni kweli kuwa Rais wetu hakutaka kushiriki sbb ya changamoto za "logistics"....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkuu tuanzishe uzi wa kumtuhumu Rais kwa mambo makubwa hivyo kwa uongo ili itusaidie nini? Huyo ndiye kiongozi uliyekuwa ukimpigania.
Hahaha. Mkuu kuna jamaa zangu tulikuwa tunakorofisha sana wakati wa uchaguzi, walikuwa magu damu damu, leo hii hawataki hata kumsikia #tutaongealughamoja soon
 
Basi ndio hivyo kaamua kutuvua nguo hadharani watanzania.
 
Back
Top Bottom