Janga la COVID-19: Rais Cyrill Ramaphosa aitisha mkutano wa nchi jirani na SA

Janga la COVID-19: Rais Cyrill Ramaphosa aitisha mkutano wa nchi jirani na SA

Ramaphosa hajaitisha kikao cha SADC,ameitisha kikao cha nchi majirani zake.

Mkuu ikiwa Rais wa Angola mipaka ya nchi yake ipo mbali na South Africa kama ilivyo Tanzania, bado unashikilia hoja ya 'majirani'.

South Africa Covering an area of 1,219,090 km², the country shares borders with Namibia, Botswana and Zimbabwe
Map-of-Southern-Africa-showing-the-SADC-countries_Q640.jpg

Map of Southern Africa showing the SADC countries
 
Huu ni mkutano muhimu sana kuweka mikakati ya pamoja kikanda.

Mkutano kama ulikuwa muhimu ni wakati kabla ya lockdown. SA wanajifanya wao wana uchumi mzuri hivi sasa wako huru. Tanzania ilikosea sana kusaidia Ukombozi kwa sababu akili za kushikiliwa na wazungu bado wanazo.

Mwenyekiti wa AU alitakiwa kuitisha au kufanya mkutano wa AU kuhusu Covid-19. Wacha waendelee matokeo yapo wazi huko tuendako. Watanzania hawawezi kusahau haya. That goes without saying our resouces was wasted on these s o b's.
 
Mimi nasikitika pale Baba wa Taifa (mlima) anapofananishwa na hili jiwe (kichuguu) Kwenye mikutano kama hii Mwalimu ndiye angekuwa mstari wa mbele na kila kiongozi angekuwa anagombea kumsikiliza atasema nini. Kweli heshima ya taifa letu imeshuka sana tu.
 
Angola economy is aligned to SA.

Hoja haina mashiko maana pia uchumi wa Tanzania na hata mawasiliano ya barabara kati ya South Africa yapo pamoja. Kuna treni inatoka Cape Town hadi stesheni ya TAZARA Dar es Salaam moja kwa moja bila kuhesabu idadi ya magari na shughuli zingine za kitalii kati ya Tanzania na South Africa.
 
Hoja haina mashiko maana pia uchumi wa Tanzania na hata mawasiliano ya barabara kati ya South Africa yapo pamoja. Kuna treni inatoka Cape Town hadi stesheni ya TAZARA Dar es Salaam moja kwa moja bila kuhesabu idadi ya magari na shughuli zingine za kitalii kati ya Tanzania na South Africa.

Sorry mate, you've missed my point. Angola wafanyibiashara wakubwa na kampuni nyingi zina uhusiano mkubwa sana wa kibenki na SA kuliko nchi yoyote kwenye region. Hawachekani sana na Botswana kwa kuwategemea SA. Hata Swaziland pamoja na Lesotho.
 
Rais wako anasema corona ni kaugonjwa kadogo sana watu
Watu waendelee kuchapa kazi
Muulizeni kaogopa nini kufanya mkutano kwa video conference from chattle self isolation!
Kila nchi ina uamuzi wake,tuone hiko kikao cha harusi kama kitatoka na majibu ya maana
 
Sorry mate, you've missed my point. Angola wafanyibiashara wakubwa na kampuni nyingi zina uhusiano mkubwa sana wa kibenki na SA kuliko nchi yoyote kwenye region. Hawachekani sana na Botswana kwa kuwategemea SA. Hata Swaziland pamoja na Lesotho.

Bado hoja yako haijajibu suala la mwenyekiti wa SADC kupinduliwa na maRais wenzie ktk suala hili la coronavirus.
 
Bado hoja yako haijajibu suala la mwenyekiti wa SADC kupinduliwa na maRais wenzie ktk suala hili la coronavirus.

Ulimsikiliza Ramaphosa kabla ya kikao? Hakuna mapinduzi kwenye uenyekiti wa SADC, huo unapewa bure tu. Unless you want to build a mountain out of a molehill.
 
Back
Top Bottom