Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hapo juu tu jirani na WatanzaniaMkuu nchi gani iyo mkuu maana sie wengine tunaishi ili tule
ajabu yake, hao wabantu wanaouawa ni waislam wenzao, lakini watu wa mbagala wapo tayari kutetea mwarabu badala ya muislam mwenzao mweusi.Wala sio Mbali Wala sio zamani, ni Jana! Janjaweed wameua wanawake, wazee na Watoto zaidi ya 700. Sijasikia mtanzania Mwenye kuwashwawashwa na mauwaji haya as if nothing happened!
Nadhani hawa hawana damu, sio Ndugu zetu, sio wenzetu hawa ndio maana! Ila Sasa ingekua Ukraine au Palestine....tungeanzisha mada Kila saa Kila wakati......View attachment 2807203View attachment 2807204
Watu wa dini wanafiki sana. Janjaweed ameua watu weusi Sudan bila kujali ni waislamu au wakristo na idadi kubwa ikiwa ni waislam weusi. Wanafiki kimya wamefyata maadam ni bwana wao mwarabu anafanya hayo tena dhidi ya mweusi huoni kelele mitandaoniWala sio Mbali Wala sio zamani, ni Jana! Janjaweed wameua wanawake, wazee na Watoto zaidi ya 700. Sijasikia mtanzania Mwenye kuwashwawashwa na mauwaji haya as if nothing happened!
Nadhani hawa hawana damu, sio Ndugu zetu, sio wenzetu hawa ndio maana! Ila Sasa ingekua Ukraine au Palestine....tungeanzisha mada Kila saa Kila wakati......View attachment 2807203View attachment 2807204
Hawa waliouliwa ni Waislam ila hautasikia Waislam popote duniani wameandamana au kulaani haya mauaji simply because muuaji siyo Muisrael au Mkristu.Wala sio Mbali Wala sio zamani, ni Jana! Janjaweed wameua wanawake, wazee na Watoto zaidi ya 700. Sijasikia mtanzania Mwenye kuwashwawashwa na mauwaji haya as if nothing happened!
Nadhani hawa hawana damu, sio Ndugu zetu, sio wenzetu hawa ndio maana! Ila Sasa ingekua Ukraine au Palestine....tungeanzisha mada Kila saa Kila wakati......View attachment 2807203View attachment 2807204
DAH AFRICA NA DINI ZA MASHARIKI YA MBALI,Wala sio Mbali Wala sio zamani, ni Jana! Janjaweed wameua wanawake, wazee na Watoto zaidi ya 700. Sijasikia mtanzania Mwenye kuwashwawashwa na mauwaji haya as if nothing happened!
Nadhani hawa hawana damu, sio Ndugu zetu, sio wenzetu hawa ndio maana! Ila Sasa ingekua Ukraine au Palestine....tungeanzisha mada Kila saa Kila wakati......View attachment 2807203View attachment 2807204
Sababu ya kuwaua ni kisa ni blacksAcha tu mkuu watu wa dini wanafiki sana. Janjaweed ameua na anaendelea kuua waislamu weusi wa Sudan. Wanafiki kimya wamefyata maadam ni bwana wao mwarabu anafanya hayo tena dhidi ya mweusi huoni kelele mitandaoni
Waliosema charity begins at home hawakukosea. Unaendaje kupaza makelele masuala ya mbali wakati nyumbani au jirani kwako kuna mazito? Ifike wakati watu waipe kipaumbele akili kabla ya dini.
Dini bila akili ni kwenda utupu mbele ya hadhira.
Yes. Janjaweed waliua waislam weusi, na hata wakristo. Wale jamaa walikua washenzi sana. Na rais wa zamani Bashir alikua ni mmoja wa wafadhili wake.Sababu ya kuwaua ni kisa ni blacks
Siyo
Ova
Stay tuned, wanakujaNatamani siku moja atokee mtu aelezee stori ya vita ya Sudan
Ritz Alwaz FaizaFoxy ITR Bwana Utam Adiosamigo Covax incharge Malaria 2 Kambakuajabu yake, hao wabantu wanaouawa ni waislam wenzao, lakini watu wa mbagala wapo tayari kutetea mwarabu badala ya muislam mwenzao mweusi.