Hata hao ni waarabu mkuu unahaki ya kuwasemea sio kusubiri mtu akusemeeajabu yake, hao wabantu wanaouawa ni waislam wenzao, lakini watu wa mbagala wapo tayari kutetea mwarabu badala ya muislam mwenzao mweusi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hao ni waarabu mkuu unahaki ya kuwasemea sio kusubiri mtu akusemeeajabu yake, hao wabantu wanaouawa ni waislam wenzao, lakini watu wa mbagala wapo tayari kutetea mwarabu badala ya muislam mwenzao mweusi.
Wewe mnafiki huwa unaandama Joseph kony n genge lake walivyokuwa wanafanya massacres kule Uganda na south Sudan , huwa unaandama wale m23 ,maimai na wahuni wengine wanavyoteketeza raia kule Congo kwa unyama ?
Mkuu mbona siku hizi umewacha kutumia ID zako zingine za @umayed na STRUGGLE MAN ??Fanya urafiki na mwarabu dogo we huoni America na Europe wanajipendekeza kwa waarabu
Mwarabu we bongo anafaida na wewe kuliko America na Israel na Europe hao hawakupiu vya bure isipokuwa madeni
Sawa, ila ukweli ndiyo huo.Acha
Acha ujinga wewe walahi
Hili li dini lakufuta kwenye sayari. Hapo watakwambia jihad. Dini yakua mtu asie na hatia ikiwa tu haamini hiyo imani. Inakua na ukakasi kiasi maana kama mtu ana muua binadamu asie na kosa je anamjua au ashamwona Muumba wake..? Hauwezi kumchukia binadamu asie kudhuru kwa lolote na ukawa unampemda Mungu. Hiii dini ni yakishetani
Hafu eti ndo unambie hii ndo Dini ya Mwenyezi Mungu...! Dini ya haki...!!!Wala sio Mbali Wala sio zamani, ni Jana! Janjaweed wameua wanawake, wazee na Watoto zaidi ya 700. Sijasikia mtanzania Mwenye kuwashwawashwa na mauwaji haya as if nothing happened!
Nadhani hawa hawana damu, sio Ndugu zetu, sio wenzetu hawa ndio maana! Ila Sasa ingekua Ukraine au Palestine....tungeanzisha mada Kila saa Kila wakati.
View attachment 2807203View attachment 2807204
janjaweed ni mkusanyiko wa jamii ya kiarabu Sudan, wanawauwa wasudani wenzao wenye asili ya kibantu kama wewe hata kama ni waislam wenzao. shida ni ubantu, kuna ethnic cleansening yaani wanataka kufuta kizazi cha wabantu kule sudan. janjaweed ni wanamgambo tu ila wanapata silaha toka serikali ya kiarabu ya sudan, pia kuna wanajeshi wa sudan huwa wanaenda kuwapiga tafu, wanapesa vifaa vya mawasiliano na serikali ya sudan na jeshi la polisi pia linawaunga mkono. kama hujaelewa.Hata hao ni waarabu mkuu unahaki ya kuwasemea sio kusubiri mtu akusemee
Haha mimi sina ID zaidi ya hio, Adiosamigo sina time ya kucreated Multiples ID faida yake nini?Mkuu mbona siku hizi umewacha kutumia ID zako zingine za @umayed na STRUGGLE MAN ??
Utashangaa nimejuaje? Mimi ni Mossad na Shin Bet
Inatia huruma!!!Duh! inasikitisha sana...
Mungu wangu[emoji3064][emoji3064][emoji3064]Wala sio Mbali Wala sio zamani, ni Jana! Janjaweed wameua wanawake, wazee na Watoto zaidi ya 700. Sijasikia mtanzania Mwenye kuwashwawashwa na mauwaji haya as if nothing happened!
Nadhani hawa hawana damu, sio Ndugu zetu, sio wenzetu hawa ndio maana! Ila Sasa ingekua Ukraine au Palestine....tungeanzisha mada Kila saa Kila wakati.
View attachment 2807203View attachment 2807204
Haha mimi sina ID zaidi ya hio, Adiosamigo sina time ya kucreated Multiples ID faida yake nini?
Eti Mossad, huoni hata aibu ilivyo chakazwa na Hamasi
Wanakuambia waarabu ni ndugu zao ktk imani wakati hapo Sudan wanauawawa waislamu weusi ili wabaki waarabu.Tatizo waafrika tunaabudu Sana ngozi nyeupe Sana. Waislamu weusi wa Sudan wanauawa huoni maanadamano kisa ni weusi. Israel wakishamalizana na hao Hamas waelekee huko.
Hivi wewe unapajua SUDAN KUSINI? kuna muislam pale?ajabu yake, hao wabantu wanaouawa ni waislam wenzao, lakini watu wa mbagala wapo tayari kutetea mwarabu badala ya muislam mwenzao mweusi.
Hakuna muislamu pale SUDANI KUSINI ndio maana hatutilii maanani.Hivi wewe unapajua SUDAN KUSINI? kuna muislam pale?
Hao waafrika wa darfur toka miaka ya 2015 wapo hatarin kwanini na hawachukui hatua ya kujilinda au kukimbia mbona kama wao huwa hawachukui hatua, ni mabwege au ni mafala miaka yote hawaoni kuwa wapo hatarinWala sio Mbali Wala sio zamani, ni Jana! Janjaweed wameua wanawake, wazee na Watoto zaidi ya 700. Sijasikia mtanzania Mwenye kuwashwawashwa na mauwaji haya as if nothing happened!
Nadhani hawa hawana damu, sio Ndugu zetu, sio wenzetu hawa ndio maana! Ila Sasa ingekua Ukraine au Palestine....tungeanzisha mada Kila saa Kila wakati.
View attachment 2807203View attachment 2807204