kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
natamani siku moja dunia ipite kwenye mikono ya kiumbe ambacho yeye ndiye last say na ukienda kinyume umekufa hata uwe wapi atakufata tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami nimeshangaa kweliMkuu nchi gani iyo mkuu maana sie wengine tunaishi ili tule
Maandiko yalisisitiza sana tuisake elimuAcha tu mkuu watu wa dini wanafiki sana. Janjaweed ameua na anaendelea kuua waislamu weusi wa Sudan. Wanafiki kimya wamefyata maadam ni bwana wao mwarabu anafanya hayo tena dhidi ya mweusi huoni kelele mitandaoni
Waliosema charity begins at home hawakukosea. Unaendaje kupaza makelele masuala ya mbali wakati nyumbani au jirani kwako kuna mazito? Ifike wakati watu waipe kipaumbele akili kabla ya dini.
Dini bila akili ni kwenda utupu mbele ya hadhira.
Jibu lenyewe alonijibu sasa ye anajisi namtaniaNami nimeshangaa kweli
Nasikia ni SudaniJibu lenyewe alonijibu sasa ye anajisi namtania
Acha ujinga wewe walahiMuuajiza si Myahudi ama Mkristo ndiyo maana tukio halipewi Airtime.
Mmmh dunia sio mahala salama unauaje watu wasiokua na hatia bila sababuWala sio Mbali Wala sio zamani, ni Jana! Janjaweed wameua wanawake, wazee na Watoto zaidi ya 700. Sijasikia mtanzania Mwenye kuwashwawashwa na mauwaji haya as if nothing happened!
Nadhani hawa hawana damu, sio Ndugu zetu, sio wenzetu hawa ndio maana! Ila Sasa ingekua Ukraine au Palestine....tungeanzisha mada Kila saa Kila wakati.
View attachment 2807203View attachment 2807204
CCM wanatunyima tu HAKI zetu tunakufa silentlyMmmh dunia sio mahala salama unauaje watu wasiokua na hatia bila sababu
Fanya urafiki na mwarabu dogo we huoni America na Europe wanajipendekeza kwa waarabu
Nigeri Kaskazini kule Borno, Sudani Kusini na Kaskazini, Somalia Watu wanauliwa wengi Sana na Mujahidina.Tunakokwenda kuna nchi zitaupiga marufuku uislam.Hili nawaambia ila mtaona km utani uislam umekua ni chanzo cha umwagaji dam hapa duniani mfano tu hapo west africa hii dini inaua watu wengu sana.Sababu kuu wanamfuata mafundisho ya mtume.
Hamna mkristu mwenye kawaida ya kuandama mkristu akiuwawa na muaaji akiwa muislam, mkristu au myahudi...zaidi ya wanafiki kama wewe ambaye ukisikia myahudi kaua mwislam mnataka dunia yote isimame.Wewe mnafiki huwa unaandama Joseph kony n genge lake walivyokuwa wanafanya massacres kule Uganda na south Sudan , huwa unaandama wale m23 ,maimai na wahuni wengine wanavyoteketeza raia kule Congo kwa unyama ?
Hili li dini lakufuta kwenye sayari. Hapo watakwambia jihad. Dini yakua mtu asie na hatia ikiwa tu haamini hiyo imani. Inakua na ukakasi kiasi maana kama mtu ana muua binadamu asie na kosa je anamjua au ashamwona Muumba wake..? Hauwezi kumchukia binadamu asie kudhuru kwa lolote na ukawa unampemda Mungu. Hiii dini ni yakishetaniWala sio Mbali Wala sio zamani, ni Jana! Janjaweed wameua wanawake, wazee na Watoto zaidi ya 700. Sijasikia mtanzania Mwenye kuwashwawashwa na mauwaji haya as if nothing happened!
Nadhani hawa hawana damu, sio Ndugu zetu, sio wenzetu hawa ndio maana! Ila Sasa ingekua Ukraine au Palestine....tungeanzisha mada Kila saa Kila wakati.
View attachment 2807203View attachment 2807204
Mwislam mweuso hana hela kwanza akishakuwa mwafrika tu basi huyo kabeba laana.Acha tu mkuu watu wa dini wanafiki sana. Janjaweed ameua na anaendelea kuua waislamu weusi wa Sudan. Wanafiki kimya wamefyata maadam ni bwana wao mwarabu anafanya hayo tena dhidi ya mweusi huoni kelele mitandaoni
Waliosema charity begins at home hawakukosea. Unaendaje kupaza makelele masuala ya mbali wakati nyumbani au jirani kwako kuna mazito? Ifike wakati watu waipe kipaumbele akili kabla ya dini.
Dini bila akili ni kwenda utupu mbele ya hadhira.
Ni kweli sababu ndogo waislamu wa Tanzania washabikia waarabu na kuacha waafrika zao ni sababu tu huwa wanapewa tende za bure na waarabu mwezi wa Ramadhani na kula pilau za bure kwa waarabu sikukuu ya iddajabu yake, hao wabantu wanaouawa ni waislam wenzao, lakini watu wa mbagala wapo tayari kutetea mwarabu badala ya muislam mwenzao mweusi.
Tulia wewe jitu jeusi kama tako la iddi AminWewe mnafiki huwa unaandama Joseph kony n genge lake walivyokuwa wanafanya massacres kule Uganda na south Sudan , huwa unaandama wale m23 ,maimai na wahuni wengine wanavyoteketeza raia kule Congo kwa unyama ?