Hizo propaganda Tu hamna kitu km hicho(janjaweed) nilitaka kuwatoa watu kwenye mudi na ili ionekane Israeli anachokifanya Gaza sio ttzo, huo ni upuuzi mtupu wa kuedit.watu ndio hawajui na vyombo vingi vya habari myahudi hupitisha uongo .anaishia kuua wananchi lakini Hamas anaua majeshi yake na vifaru vyake ndani ya Gaza wala hawajashirikishwi hizbulla hawa jamaa nao wamejipanga maana wameteswa muda mrefu. Cheki mahandaki nawanavyolipua wazayuni.Wala sio Mbali Wala sio zamani, ni Jana! Janjaweed wameua wanawake, wazee na Watoto zaidi ya 700. Sijasikia mtanzania Mwenye kuwashwawashwa na mauwaji haya as if nothing happened!
Nadhani hawa hawana damu, sio Ndugu zetu, sio wenzetu hawa ndio maana! Ila Sasa ingekua Ukraine au Palestine....tungeanzisha mada Kila saa Kila wakati.
View attachment 2807203View attachment 2807204