Mwez hauakisi wala kusharabu mwanga, hizo nazo ni elimu za kishenz vile vile made by NASA...mwez ungekuwa unaakisi mwanga usingekuwa na ukali huu tunaouona pia rangi ya mwanga isingekuwa kama hii bali ingeleta mfanano na mwanga wa jua, jaribu hili zoezi hata nyumban kwako tumia balbu rangi tofaut tofauti kumulika ktk kitambaa cheupe na uone mng'ao wa kitambaa icho na rangi za mng'ao lazima uendane na aina ya rangi ya balbu[emoji23] , je jua lina mwanga mweupe tu?jaman amkeni acheni kuamn ushenzi
Pia mwezi ungekuwa unaakisi mwanga, basi kuna kipindi usingekuwa unaonekana na mng'ao maana unakuwa position tofaut na jua, mwezi unamwanga wake mwenyewe, mwezi ni kitu cha kutisha tofaut na haya mashetani yalivyotudanganya.
Hakuna pua ya mtu ya kuweza kwenda mwezini, wao wanajua ndiomaana huoni juhudi zao sas kupeleka wanasayansi wao wa uongo huko mwezin maana wataumbuka vbaya