Mimi Ni Mtu Wa Mungu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2021
- 679
- 1,295
ooh thanks for sharingOk ,navyojua mimi mfano mtu ukiwa mwezini na ukaangalia dunia utaiona inang'aa kama unavyoona mwezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ooh thanks for sharingOk ,navyojua mimi mfano mtu ukiwa mwezini na ukaangalia dunia utaiona inang'aa kama unavyoona mwezi.
Hivi kinachofanyaga sayari zionekane kungaa huwa ni nini?Ok ,navyojua mimi mfano mtu ukiwa mwezini na ukaangalia dunia utaiona inang'aa kama unavyoona mwezi.
Hivi kinachofanyaga sayari zionekane kungaa huwa ni nini?
Hata mimi niliona hiyo nyota karibu na mwezi mida hiyo nilikuwa naendesha gari, ila nilikuwa nimesahau kama tukio lilikuwa hiyo jana, nilifikiri ni leo.Wakuu ni live kabisa... kuna kama nyota ndogo ilikuwa karibu na mwezi mida ya saa moja ila sasa haionekani inamaana imezibwa na mwez ambayo ndo eclipse yenyewe..
Mkuu hiyo sayari ipo mbali sana kulinganisha na mwezi ndo maana inaonekana ndogo......nafikiri ni kubwa kuliko dunia.eti bhana mimi nilitegemea litakuwa likubwa kama mwezi
StellariumApplication gani mkuu hiyo
Mars imezidiwa ukubwa kidogo na Dunia so Dunia ni kubwa kidogoMkuu hiyo sayari ipo mbali sana kulinganisha na mwezi ndo maana inaonekana ndogo......nafikiri ni kubwa kuliko dunia.
Hii midude mikubwa hivi inaelea tu lakini bado kuna watu wanabisha hakuna Mungu....Mars imezidiwa ukubwa kidogo na Dunia so Dunia ni kubwa kidogo
Hizi sayari ni ndogo sana ukizicompare na nyota kubwa kama Betelgeuse, Rigel, Sirius A, Stephenson, na nyota nyengine. Lakini trillions of stars zinaungana kutengeneza galaxies, Kuna vitu kama bootes void, nebulae kama pillars of creation, Carina nebula, helix nebula. Hivi vitu ukizicompare na Dunia basi Dunia itaoneka kama atom.Hii midude mikubwa hivi inaelea tu lakini bado kuna watu wanabisha hakuna Mungu....
Mkuu mwenyewe nawashangaa sana watu kama hao...yaan system zote complex zilizopo watu still wanasema hakuna designer inashangaza sana...Hii midude mikubwa hivi inaelea tu lakini bado kuna watu wanabisha hakuna Mungu....
Kumbe hata hii solar system tunayoijua kuwa na sayari tisa ni kama tone tu, unaambiwa kuna mamilioni ya sayari zenye ukubwa sawa na dunia, such knowledge is extremely too complex to imagine.......kuna jamaa anajiita kiranga yeye ukimpa facts kama hizi bado ni mbishi hakuna mfano.Mkuu mwenyewe nawashangaa sana watu kama hao...yaan system zote complex zilizopo watu still wanasema hakuna designer inashangaza sana...
Kuna siku watatambua mkuu though itakuwa late....Kumbe hata hii solar system tunayoijua kuwa na sayari tisa ni kama tone tu, unaambiwa kuna mamilioni ya sayari zenye ukubwa sawa na dunia, such knowledge is extremely too complex to imagine.......kuna jamaa anajiita kiranga yeye ukimpa facts kama hizi bado ni mbishi hakuna mfano.
dah Mungu fundiPlanets don't produce their own light. They reflect the light of the sun in the same way our moon reflects sunlight.