Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Yn ety kwenye Pic inaonekana n kubwa lkn kwa uhalisia kanaonekana kadogo sana kama huoni mbali huwez kuionaImeshaachiwa
View attachment 2468340
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yn ety kwenye Pic inaonekana n kubwa lkn kwa uhalisia kanaonekana kadogo sana kama huoni mbali huwez kuionaImeshaachiwa
View attachment 2468340
lakioi si umekaona? Haya waambie na wenzio waliokuwa wanakataa watoke nje waone.N kadogo sana utadhani ukuni wangu
ndo kale kanaonekana kama kanyota kwa pembeni au?toka nje uangalie inaonekana sasa hivi.
Ndiondo kale kanaonekana kama kanyota kwa pembeni au?
Ngoja niipakue hy app afu nitarudiKwanza kabisa sayari kama Venus, Jupiter na mars zinang'aa sana hivyo unaweza kuzijua kutokana na brightness yake.
Lakini kila sayari ina sifa flani mfano Venus orbit yake Iko karibu sana na jua hivo inaonekana mda mchache tu baada ya jua kuzama au muda mchache kabla jua kuchomoza na hii ndio sayari inayong'aa sana, mercury nayo huoneka baada ya jua kuzama lakini haing'ai sana.
Jupiter nayo inang'aa sana na utaijua Kwa rangi yake nyeupe, Kwa pindi hki pale jua linapozama inakuwa usawa wa kichwa (overhead)
Mars pia hung'aa sana na hii ni nyekundu Kwa rangi yake, (ipo karibu na taurus constellation Kwa kipindi hiki)
Saturn huokana lakini kwa beginner unaweza ukadhani ni nyota but ni rahisi kuiona.
Uranus huonekana kama nyota ndogo hivo si rahisi kuiona kama sayari bali utadhani ni nyota tu.
All in all pale jua linapozama tu zile nyota zinaanza kuonekana ni sayari.
Ukitumia app itakusaidia zaidi. Mfano Mimi natumia stellarium kujua location ya vitu vyote angani
Sawa mkuuNgoja niipakue hy app afu nitarudi
ndiyo mkuundo kale kanaonekana kama kanyota kwa pembeni au?
eti bhana mimi nilitegemea litakuwa likubwa kama mweziDuh! kama hiyo ni sayari basi sayari zipo mob sana sio 9 pekee
kuna huyu jamaa anajiita king kong akija mwambie ulikaona, maana alijua haitaonekana.Baada ya muda katachanganyikana huko ndani ndani na nyota zingine afu ndo itakuwa imetoka hiyoooooooo.!
Kwamba napiga fix mkuuUsitufanyie hvy mkuu
ndio haka Elon anataka kuhamia huko na wenzie wadhunguBaada ya muda katachanganyikana huko ndani ndani na nyota zingine afu ndo itakuwa imetoka hiyoooooooo.!
uko wapi wewe?Wakuu tupeni Update ,mnaona hayo mambo ya wapigaji wa NASA?
Labla aende na kipande cha ardhi kutoka dunianindio haka Elon anataka kuhamia huko na wenzie wadhungu
upo?Nimeangalia toka saa 6 kamili mpaka na dakika 5 mbona hakuna kilichoendelea. Tena nilikuwa nachukua na video kabisa incase nimemiss kuona. Hakuna kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
umeona?Mkuu una uhakika? mbona hatuoni kitu?
Em elezea kwa mapanaKwamba napiga fix mkuu
Uko sawa, saizi inaoneka pembeni chini kushoto kwa mwezi.Watu sijui hata picha hamuoni, mars ilikuwa inaonekana mida ya saa 4, kuanzia saa tano mpaka saa sita inakuwa imefunikwa, bila shaka itajitokeza muda si mrefu! Maana hata kuonekana iliwahi kuonekana, walisema itaonekana saa 4 na dakika 15, ila niliangalia saa 4 na dakika 1 ilikuwa tayari imejitokeza, kwahiyo sishangai ikichelewa kidogo.