Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo anayesema bado kidogo zigongane anatania tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa utamdai Melo au nani?? Rudi ndani mkuu. Mwenzio nimetoka nilivyosikia imebaki kidogo zigongane kumbe hakuna kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
we mnyakyusa umeiona mars?Naona anga limejaa nyota, nadhani n sayari zote zimekusanyika kushuhudia tukio hilo
HAYA JAMANI KUMEKUCHA, MARS TAYARI IMEJITOKEZA UPANDE WA PIL, ANGALIA PEMBENI YA MWEZI UTAIONA MARS
Kwanza kabisa sayari kama Venus, Jupiter na mars zinang'aa sana hivyo unaweza kuzijua kutokana na brightness yake.Nipe tofauti kwa Muda huo zinavoonekana ili nijue hizi ni sayari na sio nyota
Picha iko wap uku kuna mawingu.Mbona kimya? Hamjaiona?
sawa mkuu basi mimi sijui kitu, ngoja nikalale.watu hamuelewi, mwezi siyo kwamba utazima au kubadilika rang, ila ni sayari ya mars itamezwa na mwezi kwa lugha nyepesi. Mida ya saa 4 mars ilionekana pembeni ya mwezi. Mpaka sasa tunaisubiri itokee upande wa pili muda mchache ujao.
Tumeona mkuu,asante sana.Mbona kimya? Hamjaiona?
toka nje uangalie inaonekana sasa hivi.sawa mkuu basi mimi sijui kitu, ngoja nikalale.