saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 624
- 1,456
Waziri wa Nishati, Januari Makamba ametaja sababu za kuchelewa kwa mradi wa Bwawa la Nyerere kuwa ni utendaji mbovu wa Menejimenti ya Tanesco kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita.
"Tuliamua kubadilisha menejimenti ya Shirika pamoja na Bodi na kuweka menejimenti mpya na bodi ambayo tunaamini inaelewa sayansi ya usimamizi wa miradi na wana uzoefu na uwezo wa kusimamia miradi mikubwa ya aina hii na matokeo tumeyaona tulibadilisha mfumo mzima wa usimamizi wa mradi huu sasa hivi kazi inafanyika kwa saa 24 kasi imeongeka" amesema Makamba.
Makamba alikuwa anatoa taarifa hiyo kwa kundi kubwa la Wahariri wa Vyombo vya Habari aliowapeleka kukagua mradi huo.
CHANZO: ITV Habari Saa 12 asubuhi Julai 9, 2022
"Tuliamua kubadilisha menejimenti ya Shirika pamoja na Bodi na kuweka menejimenti mpya na bodi ambayo tunaamini inaelewa sayansi ya usimamizi wa miradi na wana uzoefu na uwezo wa kusimamia miradi mikubwa ya aina hii na matokeo tumeyaona tulibadilisha mfumo mzima wa usimamizi wa mradi huu sasa hivi kazi inafanyika kwa saa 24 kasi imeongeka" amesema Makamba.
Makamba alikuwa anatoa taarifa hiyo kwa kundi kubwa la Wahariri wa Vyombo vya Habari aliowapeleka kukagua mradi huo.
CHANZO: ITV Habari Saa 12 asubuhi Julai 9, 2022