SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Kazi kweli kweli.Unajidanya huwajui chadema ?!
Wengine wanasema tuwaamini tu kwa sababu wapo Verified kana kwamba kuwa verified chochote au lolote litokalo hapo ni la kweli!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kweli kweli.Unajidanya huwajui chadema ?!
Ellon Musk alikuta twitter haina vyanzo vya mapato, moja ya jambo akafanya ni kuuza verificationPage inakuwaje kanyaboya ikiwa Grey verified hapa kuna kitu hakiko sawa..
Inabiidi ile page ichunguzwe tutapata mengi sana
Bado unajadili hilo mkuu?!!! Kazi ipo!!3031 tushazikwa wote muda huo hakuna atakaefika huko
3031 - 2024 = 1007
Hakuna wa kuvuka miaka 1007
Nmimaliza nataka kuuliza tu kwani hapa wapi vile?Bado unajadili hilo mkuu?!!! Kazi ipo!!
Tunasemaga humu wabongo baadhi uwezo mdg..wao wakiona blue tick wanaamini tuThat was so obvious kwamba ile page ni kanyaboya, sema Wabongo wavivu kutumia akili...
Hilo ndilo tatizo la wabongoKazi kweli kweli.
Wengine wanasema tuwaamini tu kwa sababu wapo Verified kana kwamba kuwa verified chochote au lolote litokalo hapo ni la kweli!
Siku x si unalipia verification tu au umesahauKwahy ile ni akaunti ya nani na naona ipo verified.? Anyway, hata hvy sikuipenda muonekano wake
Mkuu wabongo reasoning yetu ni ya chini na ndio maana kila siku tunapigwa. Hata ukiangalia wanaopigwa na akina kalinda yani unashangaa mbona dalili za utapeli ziko wazi.Tunasemaga humu wabongo baadhi uwezo mdg..wao wakiona blue tick wanaamini tu
Hapo ukiondoa hiyo post ya 2020, zilizobaki ni pages za udaku udaku tu ambazo huvamia mambo hakuna hata official reliable source
Wengi wabongo ni mbumbumbu fulani hivi...kujiona wajuaji kumbe hawajui loloteMkuu wabongo reasoning yetu ni ya chini na ndio maana kila siku tunapigwa. Hata ukiangalia wanaopigwa na akina kalinda yani unashangaa mbona dalili za utapeli ziko wazi.
Sijui ni kutofuatilia, siku hizi unalipia tu verification X wanakupa
Page inakuwaje kanyaboya ikiwa Grey verified hapa kuna kitu hakiko sawa..
Inabiidi ile page ichunguzwe tutapata mengi sana
Wewe na January ndio mambuzi kabisa, taarifa imenukuliwa na vyombo vya habari wewe unauliza nilikotoa taarifa, umewahi ona naweka taarifa Jukwaani bila source?Ewe ChoiceVariable njoo huku ujibu ulitoa wapi taarifa zile na kusambaza hapa Jukwaani. Kwa lengo gani?
Niliwaonya TCRA kuhusu wewe na Uwasilishaji wako wa Taarifa hapa.
View attachment 2923595
Naona January kakanusha khs Hela ya Afrika Mashariki(Shearfanc)
3031 au macho yangu hayaoni vyema??? Huu mpepe wa wapi nami nikavute walau mistari miwiliView attachment 2923595
Naona January kakanusha khs Hela ya Afrika Mashariki(Shearfanc)
Hiyo hela kama Ina chapishwa ng'ambo badala ya ndani ya EAC Bora tuendelee na shilingi zetu...maana haitabadili chochote kiuchumi!Nilikuwa nimefurahi sana sasa hawa Viongozi hebu wakae pamoja ili tupate Sarafu ya pamoja. na baadae tupate sarafu ya AFRIKA MOJA.
Piga picha kwanza tupaone tunaweza kusaidia.Nmimaliza nataka kuuliza tu kwani hapa wapi vile?
Na bado huyu mtu ukimwambia hivi atakubishia tu ,mwisho wewe ndio utajiona mjinga..Unapoona taarifa kubwa mtandaoni, unafanya upembuzi yakinifu kujiridhisha wewe mwenyewe kwa kujaribu kutafuta sources nyingine....
Kwenye uzi wako kule niliandika pale points kadhaa, jaribu kuzipitia...
Kuwa na blue tick au tick ya rangi yeyote sio lazima iwe habari ya uhakika...
Kuna watu huko X wana hizo tick na waliweka habari za kizushi kuwa Mzee Mwinyi kafariki na kutuwekea sijui picha za barabara Mkuranga wakiaminisha watu kuwa ni maandalizi ya msiba, sasa tazama mzee mahali alipozikwa na tarehe ya umauti iliyotangazwa...
Hapo mapovu yalikitoka. DuhWewe na January ndio mambuzi kabisa,
Kwani vyombo vya habari havipotoshi?taarifa imenukuliwa na vyombo vya habari
Ndio. Lakini huo ni mjadala mwingine.wewe unauliza nilikotoa taarifa, umewahi ona naweka taarifa Jukwaani bila source?