Januari Makamba akanusha Afrika Mashiriki kutambulisha pesa ya pamoja

Januari Makamba akanusha Afrika Mashiriki kutambulisha pesa ya pamoja

Ellon Musk alikuta twitter haina vyanzo vya mapato, moja ya jambo akafanya ni kuuza verification

lakini si mbaya, hili jambo litufungue kuwa media na vyanzo mbali mbali vina impact kubwa sana kwa jamii
Mkuu verification zinazouzwa si ni blue one..
ila sijawahi kuona Grey verification zikiuzwa mara nyingi tunaziona kwa head of states na Nchi tu..
Kama ukipata Verification ya Grey ya kununua Hebu nionyeshe..
Nakupa Homework ukipata Grey verification nionyeshe
 
Tunasemaga humu wabongo baadhi uwezo mdg..wao wakiona blue tick wanaamini tu
Mkuu hiyo sio blue tick ni Grey tick..
Ni tofauti na blue tick
Blue tick=kulipia
Grey tick=Head of states or Official states Leaders..or Official States Account

Ngoja nikupe Mfano kabisa..

Hii ni blue tick..
Ni kwa watu maarufu na pia ni kwa wale wanaolipia..
Screenshot_20240304_080805_X.jpg

Screenshot_20240304_081111_X.jpg


Hii ni Grey tick ni kwa Head of States na kwa Viongozi wa Kitaifa na kimataifa tu..
Screenshot_20240304_081249_X.jpg

Screenshot_20240304_081817_X.jpg

Screenshot_20240304_081922_X.jpg

Screenshot_20240304_082026_X.jpg

Screenshot_20240304_082140_X.jpg



Sasa kosa la watu walioamini kuhusu Hiyo EAC account silioni kwa sababu ilikuwa na Head of states verification ni tofauti na blue tick..
Screenshot_20240304_082403_X.jpg
 
Ok sasa mbn kuna akaunti ya @jumuia imekataa hiyo taarifa kwa wao kuweka kama FAKE NEWS ?
Yeah naelewa na nimeona ndo maana nasema kuna vitu haviko sawa inabdi ufafanuzi uwe zaidi ya hapo na uwe kwanini hiyo account ni states account na sio kukanusha tu..

Rudi tena kwenye post #46 soma tena
 
Unapoona taarifa kubwa mtandaoni, unafanya upembuzi yakinifu kujiridhisha wewe mwenyewe kwa kujaribu kutafuta sources nyingine....

Kwenye uzi wako kule niliandika pale points kadhaa, jaribu kuzipitia...

Kuwa na blue tick au tick ya rangi yeyote sio lazima iwe habari ya uhakika...

Kuna watu huko X wana hizo tick na waliweka habari za kizushi kuwa Mzee Mwinyi kafariki na kutuwekea sijui picha za barabara Mkuranga wakiaminisha watu kuwa ni maandalizi ya msiba, sasa tazama mzee mahali alipozikwa na tarehe ya umauti iliyotangazwa...

Walikuwa almost sahihi. Ni kweli amekufa. Ni kweli kwao Mkuranga ambapo kawaida mtu akifa anazikwa kwao( wengi wao).

Kilichobadilika mahali pa maziko, ila amekufa kweli na amezikwa Zanzibar. Kwa hizi Gavoo lolote laweza kuwa kweli. Habar za kuvuja hazijawahi kufeli,
 
Yeah naelewa na nimeona ndo maana nasema kuna vitu haviko sawa inabdi ufafanuzi uwe zaidi ya hapo na uwe kwanini hiyo account ni states account na sio kukanusha tu..

Rudi tena kwenye post #46 soma tena
Kwa akili yako hiyo sarafu ya pamoja ingezinduliwa bila hata mchakato wake kujilikana?

Taarifa yako ilitia shaka tangu awali.

Kitu kikubwa hivyo kisingetangazwa kwa ghafla hivyo
 
Mkuu hiyo sio blue tick ni Grey tick..
Ni tofauti na blue tick
Blue tick=kulipia
Grey tick=Head of states or Official states Leaders..or Official States Account

Ngoja nikupe Mfano kabisa..

Hii ni blue tick..
Ni kwa watu maarufu na pia ni kwa wale wanaolipia..
View attachment 2923878
View attachment 2923888

Hii ni Grey tick ni kwa Head of States na kwa Viongozi wa Kitaifa na kimataifa tu..
View attachment 2923892
View attachment 2923910
View attachment 2923916
View attachment 2923920
View attachment 2923924


Sasa kosa la watu walioamini kuhusu Hiyo EAC account silioni kwa sababu ilikuwa na Head of states verification ni tofauti na blue tick..
View attachment 2923926
Ahsante umenielewesha vzr sana tena sana
 
Kwarme Nkuruma alipigania sana mpaka umauti ukamkuta, mpaka leo hatujaungana. Labda iwe ndoto.
 
Michakato ya kuunda sarafu za EAC zimekasimiwa kwa EACB na ndio watakaotoa tarehe ya lini sarafu itaanza kutumika. Makamba kakurupuka tu na kutoa maoni yake kama Makamba lakini Sarafu ya EAC ilipaswa kuanza mwaka jana.

Kwa sasa inafahamika kuwa uanzishwaji wa sarafu umesogezwa ili kuanza 2031, lakini kuna michakato ya ndani ya kitengo cha usimamizi inaendelea na kwa vyovyote kuna mtu kwa haraka zake kavukisha lakini ni mchakato halali.
 
Back
Top Bottom