Mtumishiwetu
Senior Member
- Jul 13, 2022
- 196
- 346
January sio kijanaNaomba watanzania wenzangu mnisaidie jambo moja kila siku nikiamka kwenye mitandao nakutana na mijadala mbalimbali inayomkosoa Januari Makamba lakini mpaka sasa najiuliza Makamba amewafanyia nini watanzania hadi mumchukie kiasi hicho?
Kosa lake ni nini hasa? kama ni Wizara ya Nishati tayari alishaondoka lakini mbona bado mnaendelea kumsakama kijana wa watu amewakosea nini watanzania?
Hana sifa ya kusifiwaNaomba watanzania wenzangu mnisaidie jambo moja kila siku nikiamka kwenye mitandao nakutana na mijadala mbalimbali inayomkosoa Januari Makamba lakini mpaka sasa najiuliza Makamba amewafanyia nini watanzania hadi mumchukie kiasi hicho?
Kosa lake ni nini hasa? kama ni Wizara ya Nishati tayari alishaondoka lakini mbona bado mnaendelea kumsakama kijana wa watu amewakosea nini watanzania?
Bali ni mpigajiJanuary sio kijana
Kama alivyo chora ramani za kuikwamisha Tanesco ili watanzania tuendelee kuteseka kwa mgao wa umemeChadema wanamuogopa sana, ni matata sana katika kuchora ramani za ushindi.
Hana sifa ya kutolaumiwa maana ni mpigajiBasi tu watu washazoea kumlaumu
[emoji1]
Wabongo wakikuandama utajuwa tu
Ova
Umeonaeeeeeee ?Miradi yake aliyoacha tanesco ndio inayotufanya tukose umeme hadi sasa
Yeye na yule MandondoMuasisi wa mgao wa umeme tz
huyo kalemani angekojoa ili mito na mabwawa yajae? tuache kukaririSSH angemwacha Dr Kalemani tatizo lote la mgao lisingekuwepo. Tatizo limetengenezwa na serikali na waziri asiye makini wala kujali maisha ya Watanzania.
Biashara ngapi zimekufa kutokana na mgao aliouanzisha? Maisha ya Watanzania wengi yameathirika vibaya sana na mgao wake na uongo wake karibu mwingi.
Mara tatizo hakuna repair, mvua, kuchepusha maji, crane, board ya Tanesco, ahadi kibao za uongo.
Ilibidi asifiwe na kupongezwa? Kuna waziri mbovu kuliko huyu Tanzania?
HakunaSSH angemwacha Dr Kalemani tatizo lote la mgao lisingekuwepo. Tatizo limetengenezwa na serikali na waziri asiye makini wala kujali maisha ya Watanzania.
Biashara ngapi zimekufa kutokana na mgao aliouanzisha? Maisha ya Watanzania wengi yameathirika vibaya sana na mgao wake na uongo wake karibu mwingi.
Mara tatizo hakuna repair, mvua, kuchepusha maji, crane, board ya Tanesco, ahadi kibao za uongo.
Ilibidi asifiwe na kupongezwa? Kuna waziri mbovu kuliko huyu Tanzania?