Januari Makamba analaumiwa kwa kosa gani?

Januari Makamba analaumiwa kwa kosa gani?

Tatizo nyota,JK kabla hajawa rais alikuwa anapendwa tu bila sababu,ila Jk ndio muasisi wa mgawo wa umeme,yeye ndo aliwaleta Dowans,IPTLna Richmond
Ccm wote hakuna mwenye nafuuu
 
huyo kalemani angekojoa ili mito na mabwawa yajae? tuache kukariri
Sababu ni ipi? Mvua, repair, crane, mchina kuchepusha maji kwenda kwenye shamba lake, board ya Tanesco, Maharage?

Kitu gani hata kimoja cha maana amewahi kufanya mfano wizara ya nishati?

Sababu ya ukweli ni moja tu upigaji, kuwaweka washkaji kwenye mambo yanayohitaji wataalamu, pia uwezo wake ni mdogo sana kwa jukumu kubwa kama kusimamia nishati kwa Watanzania wote.
 
Kumsimanga JPM hadharani,alijigamba yeye ndie kiboko ya tanesco badala yake kaenda kuharibu kila kitu
 
Kumsimanga JPM hadharani,alijigamba yeye ndie kiboko ya tanesco badala yake kaenda kuharibu kila kitu
 
Hakuna chochote kile zaidi ya vita vya kichini chini katika kutia nia ya kukalia kiti cha urais baada ya huyu aliyepo kutundiga daruga. Huyu anaonekana kuwa ni kipenzi cha wazee na matajiri wenye nguvu na ushawishi ndani ya CCM,, kwa hiyo katika mazingira kama hayo anaonekana kuwa ni tishio kwa wanaotaka kutia nia wengine.

Historia ya kumpitisha mpeperusha bendera ya CCM inawatisha makada wengi. Wana hofu ya kuwa historia huenda ikajirudia, ambapo Mwenyekiti Taifa akapewa maelekezo kisha akaja na jina mfukoni mwake la mgombea wa urais kipenzi cha wazee.
 
Hakuna chochote kile zaidi ya vita vya kichini chini katika kutia nia ya kukalia kiti cha urais baada ya huyu aliyepo kutundiga daruga. Huyu anaonekana kuwa ni kipenzi cha wazee na matajiri wenye nguvu ndani ya CCM,, kwa hiyo katika mazingira kama hayo anaonekana kuwa ni tishio kwa wanaotaka kutia nia wengine.

Historia ya kumpitisha mpeperusha bendera ya CCM inawatisha makada wengi. Wana hofu ya kuwa historia huenda ikajirudia, ambapo Mwenyekiti Taifa akapewa maelekezo kisha akaja na jina mfukoni mwake la mgombea wa urais kipenzi cha wazee.
Unamaanisha Kamba ana pesa za kuwanunulia pombe wazee wakampitisha, au sijakuelewa?
 
Nilichoka sana ile siku anautangazia uma kwamba mtanzania ameuawa na hamas, viongozi mmbadilike aise
 
Unamaanisha Kamba ana pesa za kuwanunulia pombe wazee wakampitisha, au sijakuelewa?
Wala hana utajiri huo wa kuweza kuwanunua wazee. Lakini ukweli ni kwamba ndiye anaaminika kuweza kulinda maslahi ya kudumu ya wazee (ufisadi wa kupindukia) na yale ya matajiri wenye nguvu ndani ya chama.
 
Wala hana utajiri huo wa kuweza kuwanunua wazee. Lakini ukweli ni kwamba ndiye anaaminika kuweza kulinda maslahi ya kudumu ya wazee (ufisadi wa kupindukia) na yale ya matajiri wenye nguvu ndani ya chama.
Usihangaikie nae kilaza, Ajaye anajulikana,

Ni mzalendo, Magu type.
 
Naomba watanzania wenzangu mnisaidie jambo moja kila siku nikiamka kwenye mitandao nakutana na mijadala mbalimbali inayomkosoa Januari Makamba lakini mpaka sasa najiuliza Makamba amewafanyia nini watanzania hadi mumchukie kiasi hicho?

Kosa lake ni nini hasa? kama ni Wizara ya Nishati tayari alishaondoka lakini mbona bado mnaendelea kumsakama kijana wa watu amewakosea nini watanzania?
kajizi na kaongo kaongo aikili ni nywele ety na kenyewe kanafuta legacy ya Magufuli mfyuuuuu
 
Sababu ni ipi? Mvua, repair, crane, mchina kuchepusha maji kwenda kwenye shamba lake, board ya Tanesco, Maharage?

Sababu ya ukweli ni moja tu upigaji, kuwaweka washkaji kwenye mambo yanayohitaji wataalamu, pia uwezo wake ni mdogo sana kwa jukumu kubwa kama kusimamia nishati kwa Watanzania wote.
Halafu kuna wajinga wanakuambia eti ni PRESIDENTIAL MATERIAL? Mtu ambaye O-Level aliiba mitihani ?

Mtu ambaye career yake inakuzwa kwa vile baba yake mzazi akiwa Katibu Mkuu CCM alimbeba kuwa mbunge kwa kukata jina la Shelukindo?

Mtu ambaye JAKAYA alimpa nafasi za kazi kwa sababu ya ushikaji na Baba yake Mzee Yusuf Makamba!!

Ni vizuri Samia alipompa wizara nyeti ya NISHATI na kufeli kwake kume mu -EXPOSE kwa wananchi kuwa Jamuari ni mtu WEAK sana, hawezi kupanda bila kubebwa, ni FAILURE tu.
 
Mheshimiwa habari!... vipi Yule kijana wako mtundu mtundu Jamal anayesoma Hopac hajambo?! Ana vibe sana ila utundu ni balaa! Amekua kidogo?!

Mpe "hi!" Sana mwamba Jamal Makamba 😂🙌🏾👍🏾
 
January Makamba is the smartest guy amongst all ccm big fishes. Now they are worried that if he will be left undefiled, will outsmart them and become a president . So they are propagating a smear campaign against him.

But I like the cool composure of Makamba. In the end will emerge the victor and they will give him a standing ovation.
 
huyo kalemani angekojoa ili mito na mabwawa yajae? tuache kukariri
Wengi wanachojiuliza ni kwamba ile miaka 5 ya nyuma mbona mvua kuna kipindi haikuwepo na hatukupata mgao wa umeme?
 
Naomba watanzania wenzangu mnisaidie jambo moja kila siku nikiamka kwenye mitandao nakutana na mijadala mbalimbali inayomkosoa Januari Makamba lakini mpaka sasa najiuliza Makamba amewafanyia nini watanzania hadi mumchukie kiasi hicho?

Kosa lake ni nini hasa? kama ni Wizara ya Nishati tayari alishaondoka lakini mbona bado mnaendelea kumsakama kijana wa watu amewakosea nini watanzania?
Kama mlafi
 
Back
Top Bottom