Labda utofautishe kumchukia na kutoridhishwa na utendaji wake. Hawachukiwi, ila wanakosolewa kwa utendaji wao usioridhisha.Naomba watanzania wenzangu mnisaidie jambo moja kila siku nikiamka kwenye mitandao nakutana na mijadala mbalimbali inayomkosoa Januari Makamba lakini mpaka sasa najiuliza Makamba amewafanyia nini watanzania hadi mumchukie kiasi hicho?
Kosa lake ni nini hasa? kama ni Wizara ya Nishati tayari alishaondoka lakini mbona bado mnaendelea kumsakama kijana wa watu amewakosea nini watanzania?
Mmeanza kuyamwaga! Ndio mnazidi kujiharibiaKweli siasa hazina rafiki wa kudumu. Wakati akiandamwa na Magufuli, Samia alikuwa anashinda na January akilewa na kuvuta sigara zake. Samia alikuwa na hali ngumu mpaka akafanya aliyoyafanya na Makonda. Hakuna mtu mwenye siri za Samia kama January. Chuki anayoijenga itatengeneza Magufuli mwingine. Hakuna mtu yoyote ndani ya CCM aliyeamini kuwa Magufuli angekuwa rais 2010. Siku January akiupata urais watoto wa Samia watachemshwa kwenye pipa la lami kama Magufuli alivyomtendea Kikwete. Tusubiri, tuone.
Aliharibu miundombinu ya umeme, mfumo rushwa wa mafuta na yakapanda bei, asingekuwa Makamba, January, leo mafuta yangekuwa around 1800 ila kwa sababu yake leo mafuta 3000. Makamba anapaswa ashitakiwe na kufungwa kabisaNaomba watanzania wenzangu mnisaidie jambo moja kila siku nikiamka kwenye mitandao nakutana na mijadala mbalimbali inayomkosoa Januari Makamba lakini mpaka sasa najiuliza Makamba amewafanyia nini watanzania hadi mumchukie kiasi hicho?
Kosa lake ni nini hasa? kama ni Wizara ya Nishati tayari alishaondoka lakini mbona bado mnaendelea kumsakama kijana wa watu amewakosea nini watanzania?
Turudi hapa tenaHalafu kuna wajinga wanakuambia eti ni PRESIDENTIAL MATERIAL? Mtu ambaye O-Level aliiba mitihani ?
Mtu ambaye career yake inakuzwa kwa vile baba yake mzazi akiwa Katibu Mkuu CCM alimbeba kuwa mbunge kwa kukata jina la Shelukindo?
Mtu ambaye JAKAYA alimpa nafasi za kazi kwa sababu ya ushikaji na Baba yake Mzee Yusuf Makamba!!
Ni vizuri Samia alipompa wizara nyeti ya NISHATI na kufeli kwake kume mu -EXPOSE kwa wananchi kuwa Jamuari ni mtu WEAK sana, hawezi kupanda bila kubebwa, ni FAILURE tu.
Naomba tafakari(tafakuri) ya neno kutia niaNaomba watanzania wenzangu mnisaidie jambo moja kila siku nikiamka kwenye mitandao nakutana na mijadala mbalimbali inayomkosoa Januari Makamba lakini mpaka sasa najiuliza Makamba amewafanyia nini watanzania hadi mumchukie kiasi hicho?
Kosa lake ni nini hasa? kama ni Wizara ya Nishati tayari alishaondoka lakini mbona bado mnaendelea kumsakama kijana wa watu amewakosea nini watanzania?
Go sleep with him and make sex. He isn't capable of doing a ministerial jobJanuary Makamba is the smartest guy amongst all ccm big fishes. Now they are worried that if he will be left undefiled, will outsmart them and become a president . So they are propagating a smear campaign against him.
But I like the cool composure of Makamba. In the end will emerge the victor and they will give him a standing ovation.
Alifanya. Ufisadi wa kutosha ukasababisha kuongexeka bei ya umeme kwa Luku! Mikataba ya kiwizi ya IT waliosaini na wahindi wakishirikiana na Maharage Chande!Miradi yake aliyoacha tanesco ndio inayotufanya tukose umeme hadi sasa