Januari Makamba awajibu wanaohoji mpango wake wa kugawa mitungi ya gesi

Januari Makamba awajibu wanaohoji mpango wake wa kugawa mitungi ya gesi

Hao maskini hawana uwezo wa kununua mbolea ili walime halafu wapate pesa ya kujazia gesi halafu mnawaongezea gharama nyingine za kujaza gesi.
 
Apunguze bei ya hiyo Gesi anaweza kugawa ikiisha wakashindwa kupata mipya sababu ya bei kuwa juu sana, wiki Iliyopita mtungi wa kg6 nimenunua sh 25,000/= siyo pesa ndogo kwa mtu wa kijijini ujue weee manyuzi shauri yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Namuelewa waziri, japo wanakijiji bado vipato haviruhusu. Ila ni heri tu
Yaani mitungi 300 ifanye wanakijiji laki mbili hadi laki nane almost waache kutumia kuni? Yaani kuacha kutumia kuni Tanzania ni miaka 150 ijayo...serikali hii chini ya wizara anaayoiongoza Makamba imefeli kabisa kwenye zoezi hilo.

Alafu makamba ni aina ya viongozi wanaomshushia Raisi samia umaarufu miongoni mwa wananchi. Atizamwe maana anamhujumu MAMA.
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba amewajibu watu wanaohoji mpango wake wa kugawa mitungi ya gesi kwa wanawake katika ziara anayoendelea nayo katika mikoa 14 ya Tanzania na kusema wacha wabishane lakini lazima twende mbele

“Wacha watu waseme wabishane lakini lazima twende mbele kwenye nishati safi ya kupitia” amesema Makamba 14 Julai 2022, Sengerema Mwanza


Chanzo: Instagram ya wizara_ ya nishati_ tanzania
Kwamba hiyo mitungi yake ikiisha atawatumia hela hao akina mama wakanunue tena ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba amewajibu watu wanaohoji mpango wake wa kugawa mitungi ya gesi kwa wanawake katika ziara anayoendelea nayo katika mikoa 14 ya Tanzania na kusema wacha wabishane lakini lazima twende mbele

“Wacha watu waseme wabishane lakini lazima twende mbele kwenye nishati safi ya kupitia” amesema Makamba 14 Julai 2022, Sengerema Mwanza

Chanzo: Instagram ya wizara_ ya nishati_ tanzania
Na gesi anayogawa ni ile ya Taifa gas ya RA..connect dots...

Erythrocyte johnthebaptist
 
Jana tumekaa Giza hadi saa SITA usiku nyumbani Leo ofisini nimeondoka saa SITA umeme umekatika halafu waziri anazunguka anajisifu
 
Hiyo mitungi anainunua kwa pesa ya Wizara au ya chama au ana marafiki wamemzawadia? Kwann agawe ya kampuni moja? Hizo posho za misele si zingetosha kuweka umeme vijiji 2000 alivyo a achiwa na kalemani? Nyumba ya nyasi unapika kwa LPG? Huu utaahira umeanza lini?
 
Hii tabia yake ya kujidai much know asiyesikia ndio itazidi kumpoteza.

Kulazimisha kupeleka majiko ya gesi vijijini wakati uwezo wa kujaza hiyo gesi itakapoisha hawana ni kujidanganya.

Baada ya hii publicity anayofanya, namshauri arudi huko vijijini anapogawa hiyo mitungi na majiko ya gesi after 4 months, more than 90% ataikuta imechafuka vumbi store.
Bora azikute store ..atakuta zimeshauzwa kitambo Sanaa ....
 
Waziri wa Nishati, Januari Makamba amewajibu watu wanaohoji mpango wake wa kugawa mitungi ya gesi kwa wanawake katika ziara anayoendelea nayo katika mikoa 14 ya Tanzania na kusema wacha wabishane lakini lazima twende mbele

“Wacha watu waseme wabishane lakini lazima twende mbele kwenye nishati safi ya kupitia” amesema Makamba 14 Julai 2022, Sengerema Mwanza


Chanzo: Instagram ya wizara_ ya nishati_ tanzania
Tatizo anatumia muda na vyombo vya Serikali kufanya kampeni za kisiasa.
Kama ni sera ya Serikali kutoa mitungi bure kwanini wasipate wananchi wote?
 
Kama wewe unamtetea bwanaako unadhani na yeye pia ana bwana kama wewe !!??Jibu hoja
Sasa hayo majungu yenu Rais kashayajua, na kamwe hatomuondoa January kwenye hiyo wizara, acheni udini na ukanda wapuuzi nyie, kutwa mnamuandama kijana wa watu kisa mtu wa kanda yenu kapigwa chini
 
Huyo kiazi anashindwa kushauri investment kwenye kusambaza gesi majumbani kwa ajili ya kupikia maeneo ya mijini analeta futuhi za kupeleka mitungi ya gesi vijijini, kweli watu wana vichwa vya kufugia nywele tu.
 
Hii tabia yake ya kujidai much know asiyesikia ndio itazidi kumpoteza.

Kulazimisha kupeleka majiko ya gesi vijijini wakati uwezo wa kujaza hiyo gesi itakapoisha hawana ni kujidanganya.

Baada ya hii publicity anayofanya, namshauri arudi huko vijijini anapogawa hiyo mitungi na majiko ya gesi after 4 months, more than 90% ataikuta imechafuka vumbi store.
Anateta mpango mkakati wa gas ya wakubwa badala ya Umeme wa bwawa la Mwalimu Nyerere,(kumbukeni ule mpango OVU wa awamu ya 4 waliyopeana vitalu vya gas kupitia Bunge la ccm)
 
Huyo kiazi anashindwa kushauri investment kwenye kusambaza gesi majumbani kwa ajili ya kupikia maeneo ya mijini analeta futuhi za kupeleka mitungi ya gesi vijijini, kweli watu wana vichwa vya kufugia nywele tu.
Bahati mbaya chake hakifugi hata nywele,sijui cha nini!!
Unawagawia wa CCM tu alafu eti waziri!
 
Back
Top Bottom