Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Wasukuma mnamchukia Makamba jrHakuna waziri kilaza kama huyu jamaa,sijajua rais Samia alimpendea nini.
Nakumbuka siku ameingia ofisini alisema umeme ukikatika meneja wa eneo hilo hana kazi. Jambo la kushangaza toka ameingia ofisini umeme umezidi kukatika kuliko alivyokuwa Kalemani.
Mbagala kila umeme unakatika bila hata taarifa sijasikia meneja kafukuzwa kama sio muongo na mnafiki tumuiteje?. Afu ndio alitaka kuwa rais!!!
Ulikuwa hujui. Nadhani huyu anabebwa na jina na mitandao ya baba yake. Vinginevyo hakuna kitu chochote ni bomu. Atatimuliwa tu tokana na ujinga na upogo wake. Ni suala la muda. Huyu na Mwigulu Nchemba ni toxic ministers that the world has ever seen.Hakuna waziri kilaza kama huyu jamaa,sijajua rais Samia alimpendea nini.
Nakumbuka siku ameingia ofisini alisema umeme ukikatika meneja wa eneo hilo hana kazi. Jambo la kushangaza toka ameingia ofisini umeme umezidi kukatika kuliko alivyokuwa Kalemani.
Mbagala kila umeme unakatika bila hata taarifa sijasikia meneja kafukuzwa kama sio muongo na mnafiki tumuiteje?. Afu ndio alitaka kuwa rais!!!
Vipi kuhusu kukatika kwa umeme mara kwa mara bila taarifa na kwa muda mrefu?Piga kazi JANUARY
Akifukuzwa wewe ndo unachukua nafasi yake?sijasikia meneja kafukuzwa kama sio muongo na mnafiki tumuiteje?
Mkuu, umeme kukatika huwa kunakuwaga na known na unknown reasons.Hakuna waziri kilaza kama huyu jamaa,sijajua rais Samia alimpendea nini.
Nakumbuka siku ameingia ofisini alisema umeme ukikatika meneja wa eneo hilo hana kazi. Jambo la kushangaza toka ameingia ofisini umeme umezidi kukatika kuliko alivyokuwa Kalemani.
Mbagala kila umeme unakatika bila hata taarifa sijasikia meneja kafukuzwa kama sio muongo na mnafiki tumuiteje?. Afu ndio alitaka kuwa rais!!!
Tulizoea kupata taarifa mapema kuna katizo la umeme ila kwa sasa hakuna taarifa,na umeme unakatwa mara kwa maraVipi kuhusu kukatika kwa umeme mara kwa mara bila taarifa na kwa muda mrefu?
Jana, asubuhi yote hakukuwa na umeme eneo letu, hakuna nguzo iliyodondoka, wala mvua hakuna, hakuna ubadilishwaji wa nguzo, hakuna load shed iliyotangazwa, nini shida?
Eneo hili hili nimewahi kukaa miezi minne mfululizo bila kuona hata umeme kucheza achilia mbali kukatika, waliweza vipi kipindi hicho cha nyuma, sijui!
Boss umeme unakatika toka asubuhi unarudi saa mbili usiku,kwanini yapote masaa mengi kiasi hicho kama kuna tatizo kubwa kwanini watu wasipewe taarifa wakajua? Una saluni huna genereta ukijua muda umeme utarudi si utaenda kufanya kazi nyingine kuliko kukaa sehemu hiyo ukiishi kwa tumaini kuwa umeme unarudi sasa hivi?Mkuu, umeme kukatika huwa kunakuwaga na known na unknown reasons.
Lakini amini nakuambia, hakuna mtu anayeamka kwake kwenda eti kukata umeme kwa makusudi kabisa... Hiyo kitu haipo.
Incase una swali lolote lile uliza nikujuze taratibu mpaka uelewe.
Yaani lengo lako Ni kusikia Fulani kaachishwa kazi,
Acha roho mbaya
Sifurahishwi na Hali hii ya kukatika umeme mara kwa mara,Mimi mwenyewe asilimia 75%kazi zangu nategemea umeme.
Msingi wa hoja yangu Ni kwamba usipende au kufurahia pindi wengine wanapotumbuliwa
Duniani tunapita tu.
Ulikuwa hujui. Nadhani huyu anabebwa na jina na mitandao ya baba yake. Vinginevyo hakuna kitu chochote ni bomu. Atatimuliwa tu tokana na ujinga na upogo wake. Ni suala la muda. Huyu na Mwigulu Nchemba ni toxic ministers that the world has ever seen.