January Makamba acha uongo na unafiki, maneno yako kuhusu umeme huyatekelezi

January Makamba acha uongo na unafiki, maneno yako kuhusu umeme huyatekelezi

Angebaki kalemani tu naona chengachenga kwa uyu msela


Huyu January kwa akili zake ndogo angepewa wizara ya mazingira au Utalii , Michezo lakini sio wizara nyeti hivi
 
Husimfananishe Mwigulu Mchumi na January form four failure pls

Mwigulu hajabebwa na jina la ukoo kafika hapo kwa nguvu zake
Naye mbona ana skeltons in the closet! Kwani hakughushi? Hata hiyo PhD yake ni mashaka matupu sawa na ile ya Ruto na Magufuli
 
Miundo Mbinu ya Umeme Nchi Hii Lini Ilikuwa Mipya Maana Toka Najielewa Ngonjera Ndo Hiyo Hiyo....
 
Back
Top Bottom