Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anabebwa na jina la baba yake na si weredi wa kikazi. Tatizo akishalewa tu anavimba kichwa na kuongea yasiyopaswa kwa kiongozi wa nafasi yake kuongeaHuyu jamaa huwa anafukuzwa fukuzwa tuu sjui Kwa nn
Unazungumzia mambo ya "kuazima nguo". Hii ni jadi ya wapi hii? Nani anaazima nguo na kwa sababu zipi hasa? Au unazungumzia nguo za mitumba?Cheo ni Sawa na Nguo ya kuazima ambayo Siku yoyote mmiliki wa Nguo anaweza kuichukua amesisitiza mh Rais Samia
NAKUBALIANA NA WEWE NI MMOJA WA WANASIASA WACHACHE TULIONA WENYE AKILI KUBWA. SHIDA INAYOMUANDAMA NI KUUTAKA URAIS, NA NADHAN HILI SI TATIZO KWA MWANASIASA YEYOTE. KUWA AMBITIOUS KWENYE SIASA SI DHAMBI HATA KIDOGO!!Huwa nashindwa pia kuelewa mabaya ya huyu jamaa ni yap? Maana huwa namuona mtu smart mnoo..Na pia kama issue ni kuwa na ndoto za urais mbona siyo tatizo kabisa?? Maana Siyo vibaya mtu kuwa na malengo binafsi
MwanaeUnazungumzia mambo ya "kuazima nguo". Hii ni jadi ya wapi hii? Nani anaazima nguo na kwa sababu zipi hasa? Au unazungumzia nguo za mitumba?
Lakini ngoja nikuulize swali, huenda wewe unaweza kujua hili: Huyo Mahmood 'THABIT KOMBO', ni kijukuu wa yule Thabit Kondo mwenyewe, au ni majina tu?
Hawa wazanzibari safari hii wanafaidi kweli matunda ya muungano. Lakini ndiyo hivyo tena wanaumaliza muungano wenyewe.
Hiyo Wizara ni nyeti sana, tusipo kuwa waangalifu zaidi, hapa ndipo tutakapovurugwa sana.
Hao ndio wanao faidi matunda ya wazee wao!Mwanae
Abaandaliwa na nani? Huko TISS aliingia lini? Hivi TISS unaijua au ? Yaani baba yake Makamba kumuombea kazi ya uandishi wa hotuba kwa Kikwete ndiyo amekuwa TISS?Mmmmmm.......!!! Alirudia Forest Morogoro....alaenda US akarudi 2005....akawa afisa mambo nje then team JK kampeni akiwa mwandishi wake....mengine historia na ni TISS mkubwatu....ni kweli anaandaliwa ........lkn kuna ajali siasa na mipango Mungu....
Anapambania nafasi AUHivi ni kweli alitumbukiwa akiwa ziarani Ghana....Ile Wizara ni tamu Kwa matanuzi ya posho!
Kwani haiwezekani muandishi wa kikwete kuwa TISS ?Abaandaliwa na nani? Huko TISS aliingia lini? Hivi TISS unaijua au ? Yaani baba yake Makamba kumuombea kazi ya uandishi wa hotuba kwa Kikwete ndiyo amekuwa TISS?
Hata kwenye mabaa humu watu wengi hupenda kujitambulisha kama ni TISS, siyo ajabuKwani haiwezekani muandishi wa kikwete kuwa TISS ?
BIla shaka linaloelekea zaidi ni kwamba ni rahisi kwa mwandishi wa kikwete kuwa TISS kiko mtu wa mabaa kuwa TISS.Hata kwenye mabaa humu watu wengi hupenda kujitambulisha kama ni TISS, siyo ajabu
HIVI HII NI NANI ALIIVUJISHA?Wasaliti
Mahamood siyo mjukuu ni mtoto wa hayati Thabit KomboUnazungumzia mambo ya "kuazima nguo". Hii ni jadi ya wapi hii? Nani anaazima nguo na kwa sababu zipi hasa? Au unazungumzia nguo za mitumba?
Lakini ngoja nikuulize swali, huenda wewe unaweza kujua hili: Huyo Mahmood 'THABIT KOMBO', ni kijukuu wa yule Thabit Kondo mwenyewe, au ni majina tu?
Hawa wazanzibari safari hii wanafaidi kweli matunda ya muungano. Lakini ndiyo hivyo tena wanaumaliza muungano wenyewe.
Hiyo Wizara ni nyeti sana, tusipo kuwa waangalifu zaidi, hapa ndipo tutakapovurugwa sana.
Hata wewe ni tiss kama una Uzalendo kwa Nchi yakoHata kwenye mabaa humu watu wengi hupenda kujitambulisha kama ni TISS, siyo ajabu
Wameonewa sana. Rais awaombe msamaha kabla hawajakasirika na wakaamua Kuiba hata kura zake.Wasaliti
Huna ulijualooooooo!!! Tuishie hapa hapaAbaandaliwa na nani? Huko TISS aliingia lini? Hivi TISS unaijua au ? Yaani baba yake Makamba kumuombea kazi ya uandishi wa hotuba kwa Kikwete ndiyo amekuwa TISS?