January Makamba akabidhi ofisi kwa Waziri Kombo

January Makamba akabidhi ofisi kwa Waziri Kombo

Huwa nashindwa pia kuelewa mabaya ya huyu jamaa ni yap? Maana huwa namuona mtu smart mnoo..Na pia kama issue ni kuwa na ndoto za urais mbona siyo tatizo kabisa?? Maana Siyo vibaya mtu kuwa na malengo binafsi
Huku uswahilini tunasema, umepigwa limbwata
 
Zipo nyakati ngumu .
Mtu mzima kuumbuka ndiyo hivyo.

Ni vile kunakuwa tu ulazima hivi hivi unampa tu dereva funguo
 
Pili huku Pwani Utamaduni wa kuazimana nguo ulikuwepo na nadhani Bado upo, wengi wakienda kutongoza enzi zile waliazimana Nguo na Viatu
Nimekumbuka.
Siyo huku pwani tu; hata shela za harusi watu hadi leo wana kodi.
Hiyo ni biashara nzuri, hata kule majuu kuna maduka maalum ya kukodi nguo maalum; kama 'tuxedo', unazijuwa hizo 'thebaptist'!

Nakupa wazo la biashara hilo; kaungane na mkuu 'Erythro' mkaanzishe duka la kukodisha 'tuxedo' pale Kariakoo. Ubaya au uzuri ni kuwa mkifanya hivyo, hatutawasikia tena humu JF! EEeeenHEEeeeh!
 
Huwa nashindwa pia kuelewa mabaya ya huyu jamaa ni yap? Maana huwa namuona mtu smart mnoo..Na pia kama issue ni kuwa na ndoto za urais mbona siyo tatizo kabisa?? Maana Siyo vibaya mtu kuwa na malengo binafsi

Enzi za Makamba

Hata mgao wa umeme hukuuona?

Hata foleni za watu kwenye vituo vya mafuta baada ya mafuta kufichwa maksudi hukuona?
 
Nyinyi choka mbovu mtapata nini
Huyu yeye maisha alishayapatia
Haya nenda kale mapera ukanye mbegu huko maporini siku iende
 
Huwa nashindwa pia kuelewa mabaya ya huyu jamaa ni yap? Maana huwa namuona mtu smart mnoo..Na pia kama issue ni kuwa na ndoto za urais mbona siyo tatizo kabisa?? Maana Siyo vibaya mtu kuwa na malengo binafsi
Ana matatizo mawili makubwa sana.

1) Ana tamaa sana.
2) Mjuwaji sana.
 
"Leo nimekabidhi rasmi Ofisi kwa Mhe Waziri Mahmoud Thabit Kombo. Nimempongeza, kumtakia heri na kumuahidi ushirikiano. Nimemshukuru Mhe Rais kwa imani na fursa ya kuhudumu. Nimeishukuru familia nzima ya Wizara kwa kazi tuliyofanya pamoja na kuwatakia kila la kheri"

January Makamba
 

Attachments

  • IMG-20240729-WA0051(1).jpg
    IMG-20240729-WA0051(1).jpg
    146.4 KB · Views: 2
Kuna kila dalili ya mtifuano lkn kwa nimjuavyo makamba hana hila...ni bahati mbaya wizara anapata watu washamba badala ya kufanyakazi wanahangaika na siasa.

Uchumia tumbo ni dalili mbaya sana ikiwa umbea umekujaa
 
Huwa nashindwa pia kuelewa mabaya ya huyu jamaa ni yap? Maana huwa namuona mtu smart mnoo..Na pia kama issue ni kuwa na ndoto za urais mbona siyo tatizo kabisa?? Maana Siyo vibaya mtu kuwa na malengo binafsi
ni kweli kuwa na malengo siyo mbaya shida ni uwezo, unatakiwa kuonyesha uwezo ktk mambo unayopitia kutimiza malengo yako, alikuwa nishati ndiyo wakati hali ya umeme ilikuwa mbaya sana,akateua mkurugenzi kutoka mwezini akatuhakikishia watz kuwa bei ya umeme haiwezi shuka kwani kujenga bwawa ni gharama kubwa sana na deni ni kubwa,anatoka mwezini hajui tunalipa kodi na tunaendelea kulipa.
 
Nimeiangalia clip yako ukikabidhi ofisi ya wizara ya mambo ya nje kwa Thabiti Kombo, uso wako umenyon'gonyea sana japo unajaribu kutabasamu kuficha hisia zako lakini uso wako unakataana na tabasamu lako, hii ndio dunia.

Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Ngoja nisubiri na kwa Nape Nnauye nione body language yake pia

"Uongozi ni koti la kuazima"

=====


Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba leo July 27,2024 amekabidhi rasmi ofisi kwa Waziri wa sasa wa Wizara hiyo, Balozi Mahmoud Thabit Kombo.

Makamba amesema “Nimempongeza, kumtakia heri na kumuahidi ushirikiano Waziri Kombo, nimemshukuru Mhe Rais kwa imani na fursa ya kuhudumu, nimeishukuru Familia nzima ya Wizara kwa kazi tuliyofanya pamoja na kuwatakia kila la kheri”
Hongera zake Makamba ingawa likuwa ni jipu liliowahi kutumbuliwa na Marehemu Hayati Rais Dr Magufuli yeye Makamba na Nape waliwahi pia kutumbuliwa na RIP Dr Magufuli .
 
Back
Top Bottom