Kazii sana sijui ameharibu wapi JM maana sio kuchukiwa huku....anyway muda utaongea....Kama Tiss inaandaa watu aina ya huyu January Makamba kuwa Rais wa jamuhuri ya TZ basi kama taifa tuna hasara kubwa sana
Wewe unayejua tupe ushahidi kwamba Makamba ni TISS. Yaani mwizi wa mitihani Galanos ndiyo aajiriwe na TISS?? Washamba mnaogopa kila mtuHun
Huna ulijualooooooo!!! Tuishie hapa hapa
Kwahiyo kama ni tiss ndio unatakiwa umuogope ila. Watanzania alie turoga alishakufaWewe unayejua tupe ushahidi kwamba Makamba ni TISS. Yaani mwizi wa mitihani Galanos ndiyo aajiriwe na TISS?? Washamba mnaogopa kila mtu
Huku uswahilini tunasema, umepigwa limbwataHuwa nashindwa pia kuelewa mabaya ya huyu jamaa ni yap? Maana huwa namuona mtu smart mnoo..Na pia kama issue ni kuwa na ndoto za urais mbona siyo tatizo kabisa?? Maana Siyo vibaya mtu kuwa na malengo binafsi
hata shule atakuwa alikuwa anafukuzwa fukuzwaHuyu jamaa huwa anafukuzwa fukuzwa tuu sjui Kwa nn
Si nyinyi mnaotuambia Januari Makamba ni TISS!! Ndiyo mnataka kututisha.Kwahiyo kama ni tiss ndio unatakiwa umuogope ila. Watanzania alie turoga alishakufa
Nimekumbuka.Pili huku Pwani Utamaduni wa kuazimana nguo ulikuwepo na nadhani Bado upo, wengi wakienda kutongoza enzi zile waliazimana Nguo na Viatu
Ndiomana wanasema cheo hakina dhamana kikiisha kimeisha.!!Cheo ni Sawa na Nguo ya kuazima ambayo Siku yoyote mmiliki wa Nguo anaweza kuichukua amesisitiza mh Rais Samia
Huwa nashindwa pia kuelewa mabaya ya huyu jamaa ni yap? Maana huwa namuona mtu smart mnoo..Na pia kama issue ni kuwa na ndoto za urais mbona siyo tatizo kabisa?? Maana Siyo vibaya mtu kuwa na malengo binafsi
Ana matatizo mawili makubwa sana.Huwa nashindwa pia kuelewa mabaya ya huyu jamaa ni yap? Maana huwa namuona mtu smart mnoo..Na pia kama issue ni kuwa na ndoto za urais mbona siyo tatizo kabisa?? Maana Siyo vibaya mtu kuwa na malengo binafsi
Ametamani nini?? Fafanua ueleweke bibi.Ana matatizo mawili makubwa sana.
1) Ana tamaa sana.
2) Mjuwaji sana.
Kalaghabho.....kwa heri !!!Wewe unayejua tupe ushahidi kwamba Makamba ni TISS. Yaani mwizi wa mitihani Galanos ndiyo aajiriwe na TISS?? Washamba mnaogopa kila mtu
ni kweli kuwa na malengo siyo mbaya shida ni uwezo, unatakiwa kuonyesha uwezo ktk mambo unayopitia kutimiza malengo yako, alikuwa nishati ndiyo wakati hali ya umeme ilikuwa mbaya sana,akateua mkurugenzi kutoka mwezini akatuhakikishia watz kuwa bei ya umeme haiwezi shuka kwani kujenga bwawa ni gharama kubwa sana na deni ni kubwa,anatoka mwezini hajui tunalipa kodi na tunaendelea kulipa.Huwa nashindwa pia kuelewa mabaya ya huyu jamaa ni yap? Maana huwa namuona mtu smart mnoo..Na pia kama issue ni kuwa na ndoto za urais mbona siyo tatizo kabisa?? Maana Siyo vibaya mtu kuwa na malengo binafsi
Hongera zake Makamba ingawa likuwa ni jipu liliowahi kutumbuliwa na Marehemu Hayati Rais Dr Magufuli yeye Makamba na Nape waliwahi pia kutumbuliwa na RIP Dr Magufuli .Nimeiangalia clip yako ukikabidhi ofisi ya wizara ya mambo ya nje kwa Thabiti Kombo, uso wako umenyon'gonyea sana japo unajaribu kutabasamu kuficha hisia zako lakini uso wako unakataana na tabasamu lako, hii ndio dunia.
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Ngoja nisubiri na kwa Nape Nnauye nione body language yake pia
"Uongozi ni koti la kuazima"
=====
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba leo July 27,2024 amekabidhi rasmi ofisi kwa Waziri wa sasa wa Wizara hiyo, Balozi Mahmoud Thabit Kombo.
Makamba amesema “Nimempongeza, kumtakia heri na kumuahidi ushirikiano Waziri Kombo, nimemshukuru Mhe Rais kwa imani na fursa ya kuhudumu, nimeishukuru Familia nzima ya Wizara kwa kazi tuliyofanya pamoja na kuwatakia kila la kheri”