January Makamba akigombea Urais nitamnadi mpinzani wake nchi nzima, Naendelea kutunza ushahidi halisi

January Makamba akigombea Urais nitamnadi mpinzani wake nchi nzima, Naendelea kutunza ushahidi halisi

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Naona kuna mambo yanaendelea ndani Ya inchi bila watu kujua lililo nje Ya pazia

Someone is hunting it for real by hooks and crooks!

Mi ni miongoni mwa watu wanaokataa jambo lolote la kujinga haijarishi nani analifanya na yuko Chama gani,

Kuna ma tycoon nyuma ya Jamaa mwingine Jana kaanza kujifanya anakemea watu . Yaan wewe ROST TAMU ndo wa kukemea watanzania ?

Anyway Ngoja mlazimishwe na gesi huku tukiandaa uchinjaji

Miamala ya Taifa Kwa ajili ya Jambo fulani inakuwa ya mtu fulani kisa anaandaa timu fulani , hivi ikulu kuna nini hapo Mbona nimekaa Miaka 2 sioni cha ajabu Lakin nikawaza Kumbe ni rasili mali hizi zetu .

Ikanikumbusha storybook ya Kariakoo kwamba Jambazi anakutana na mteja anapanga kumuuzia kiatu ulichovaa wewe na ashajua atakikuvua lini,

Taifa linakuwa la hovyo sasa !

Tulitulia kidogo wakati Meko kaondoka na tulimpinga Kwa ukandamizaji wa haki za watu na kutofuata utawala wa sheria , sasa naona tutatakiwa kuwa active kivingine,

ANGALIZO KWA CHAMA CHANGU CCM , MAKAMBA, NCHEMBA, AU KIGWANGALA SI WATU WA KUWAACHIA WAKASHIKA KOKI YA MASEGA , HATUTAKUTA ASALI YETU


Britanicca
 
Mkuu naona umeamua kuvunja ukimya; Prince January na Prince Ridhiwan of Msoga Kingdom wameshapangwa kumrithi Queen Msafiri.

Kwaiyo usimuone Prince January anaangaika kunadi gesi ya TaifaGas, ni kwamba anajua yeye ndiye atachukua jumba la Ufalme.
 
Nakumbuka mtoto wa Gachuma kupewa kuwa mjumbe wa board ya Tanesco nikafungue files zangu nikajua what's going on.

Angalizo yeyote unapotaka kushindana na kizazi hicho cha mwigulu na makamba jifungie ndani afu tumia akili ya kuzaliwa kabla hujatoka nje, vita sio makomborafiki na mizinga watu wanapiga hesabu 2030 itakuwaje afu wewe umekaa tu unapapasa paja za mkeo then unataka nje kushindana nao.
 
Mkuu naona umeamua kuvunja ukimya;Prince January na Prince Ridhiwan of Msoga Kingdom wameshapangwa kumrithi Queen Msafiri.
Kwaiyo usimuone Prince January anaangaika kunadi gesi ya TaifaGas,ni kwamba anajua yeye ndiye atachukua jumba la Ufalme.
Najua mengi bahati nzuri nilikuwa nordland kipindi Jamaa yuko kule we met five Tanzanians from inner core na tulisikitika sana sana sana yan
 
britanicca

Mlichokuwa mkikikataa kwa Magufuli ni misimamo yake kuhusu hili kundi la Rostam na Msoga!

Mkatumika bila kujua,kwa kupindisha ukweli na kuegemea mgongo wa Demokrasia.

Ambayo kwa ujumla ilikuwa sio Demokrasia bali "DOMO-KULA-SIA" za kulambia Asali.
Ambazo kiujumla Magufuli alikataa Semina,Makongamano,Safari lukuki za nje,Matumizi ya kumbi binafsi za kukodisha, ilhali kumbi za taasisi zikiwepo.
Mishahara hewa,vyeti bandia vya kughushi,Ufisadi mkubwa kupitia Tanesco,ukwepaji kodi kupitia misamaha ya waziri wa fedha na ubadhirifu wa pesa za halmashauri zetu huko "TAMISEMI"

Sote ni mashahidi nchi nzima.
Kwamba hayo yoote yamerudi kwa kasi ile ile ikiwa na Speed ya 4G.

Magufuli alichokifanya,ndio kile watu walikuwa wakililia kitokee huko nyuma kwenye hii hii awamu iliyoshika rimoti sasa hivi.

Kilichotokea ni Genge hili kumtumia
Queen Nyasafari,na kuweza kutekeleza walichoweza.Siri zote za Ikulu ya Magufuli zilikuwa zinapotiliza kwenda Kwa Msoga team.
Kwa kupewa na huyuhuyu Queen Nyasafari wa sasa.

Naona wanamuandaa Kigogo14 kuchukua nchi 2030.

Ngoja tuendelee kukaa siti za mbele tu.

Ila TIME WILL TELL .....
MUNGU IBARIKI TANZANIA....

Tuokowe na haya Majamga ya "Walina Asali"

Alamsikhi!
 
@britanicca !

Mlichokuwa mkikikataa kwa Magufuli ni misimamo yake kuhusu hili kundi la Rostam na Msoga.

Mkatumika bila kujua,kwa kupindisha ukweli na kuegemea mgongo wa Demokrasia.

Ambayo kwa ujumla ilikuwa sio Demokrasia bali "DOMO-KULA-SIA" za kulambia Asali.
Ambazo kiujumla Magufuli alikataa Semina,Makongamano,Safari lukuki za nje,Matumizi ya kumbi binafsi za kukodisha, ilhali kumbi za taasisi zikiwepo.
Mishahara hewa,vyeti bandia vya kughushi,Ufisadi mkubwa kupitia Tanesco,ukwepaji kodi kupitia misamaha ya waziri wa fedha na ubadhirifu wa pesa za halmashauri zetu huko "TAMISEMI"

Sote ni mashahidi nchi nzima.
Kwamba hayo yoote yamerudi kwa kasi ile ile ikiwa na Speed ya 4G.

Magyfuli alichokifanya,ndio kile watu walikuwa wakililia kitokee huko nyuma kwenye hii hii awamu iliyoshika rimoti sasa hivi.

Kilichotokea ni Genge hili kumtumia Nyasafari,na kuweza kutekeleza walichoweza.Siri zote za Ikulu ya Magufuli zilikuwa zinapotiliza kwenda Kwa Msoga team.
Kwa kupewa na huyuhuyu Nyasafari wa sasa.

Naona wanamuandaa Kigogo14 kuchukua nchi 2030.

Ngoja tuendelee kukaa siti za mbele tu.

Ila TIME WILL TELL

Alamsikhi!
Hata Magufuli alikuwa Mpigaji ila muuaji zaidi
 
Naona kuna mambo yanaendelea ndani Ya inchi bila watu kujua lililo nje Ya pazia

Someone is hunting it for real by hooks and crooks!

Mi ni miongoni mwa watu wanaokataa jambo lolote la kujinga haijarishi nani analifanya na yuko Chama gani,

Kuna ma tycoon nyuma ya Jamaa mwingine Jana kaanza kujifanya anakemea watu . Yaan wewe ROST TAMU ndo wa kukemea watanzania ?


Britanicca
Shikamoo baba, kwa hiyo na umri wako wote na wazee wengine wote mmeshindwa kufanya jambo? Habari za Urusi kwanza ?
 
Shikamoo baba, kwa hiyo na umri wako wote na wazee wengine wote mmeshindwa kufanya jambo? Habari za Urusi kwanza ?
Urusi pagumu Putin anafanya maisha kuwa magumu Kwa waruskie
 
Kuna ukiwaangalia tu wao Haina zao, matendo yao na familia zao hawastahili hata kuwa kiongozi mkuu wa nchi.

Wanapaswa kuwa manyampara au raia wa kawaida.

Cha ajabu Wana jihesabia haki na wanaitaka hio nafasi kwa udi na uvumba.

Anyway ngoja tuone
 
Naona kuna mambo yanaendelea ndani Ya inchi bila watu kujua lililo nje Ya pazia

Someone is hunting it for real by hooks and crooks!

Mi ni miongoni mwa watu wanaokataa jambo lolote la kujinga haijarishi nani analifanya na yuko Chama gani,

Kuna ma tycoon nyuma ya Jamaa mwingine Jana kaanza kujifanya anakemea watu . Yaan wewe ROST TAMU ndo wa kukemea watanzania ?

Anyway Ngoja mlazimishwe na gesi huku tukiandaa uchinjaji

Miamala ya Taifa Kwa ajili ya Jambo fulani inakuwa ya mtu fulani kisa anaandaa timu fulani , hivi ikulu kuna nini hapo Mbona nimekaa Miaka 2 sioni cha ajabu Lakin nikawaza Kumbe ni rasili mali hizi zetu .

Ikanikumbusha storybook ya Kariakoo kwamba Jambazi anakutana na mteja anapanga kumuuzia kiatu ulichovaa wewe na ashajua atakikuvua lini,

Taifa linakuwa la hovyo sasa !

Tulitulia kidogo wakati Meko kaondoka na tulimpinga Kwa ukandamizaji wa haki za watu na kutofuata utawala wa sheria , sasa naona tutatakiwa kuwa active kivingine,

ANGALIZO KWA CHAMA CHANGU CCM , MAKAMBA, NCHEMBA, AU KIGWANGALA SI WATU WA KUWAACHIA WAKASHIKA KOKI YA MASEGA , HATUTAKUTA ASALI YETU


Britanicca
Kwa hili nitasimama upande wako.

Kataa wahuni.
 
Queen Msafiri
icon_mrgreen.gif
icon_mrgreen.gif
icon_mrgreen.gif
 
Back
Top Bottom