January Makamba akigombea Urais nitamnadi mpinzani wake nchi nzima, Naendelea kutunza ushahidi halisi

Ndo mana kila sku nasema , ifike hatua hii nchi tuigawane tuu hakuna cha utanzania wala nn, west Africa ndo ujinga wa namna hii hawautaki , Nyerere alikosea Sana kuunganisha chama na vyombo vyote vya usalama , aliamin wataendelea kuwepo waadilifu kama yeye
 
Nami,nitajiunga kwenye timu ya kumnadi!!
 
Kwaiyo shemeji wa BUMBULI, kusema wa China wamejaa mafinga ni propaganda za kujifanya mzalendo.
 
Mkuu naona umeamua kuvunja ukimya; Prince January na Prince Ridhiwan of Msoga Kingdom wameshapangwa kumrithi Queen Msafiri.

Kwaiyo usimuone Prince January anaangaika kunadi gesi ya TaifaGas, ni kwamba anajua yeye ndiye atachukua jumba la Ufalme.
Never Haitokaa itokee wale vijana wa mjini kushika dola hii..
 
Hu
 
Umeandika matakataka tu
 
Hii ni CAKE YA TAIFA Ila wanakula waliokaa MADHABAHUNI
Yah right.

Hata Kanisani Makasisi huwa wanakula ile sakramenti kubwa. Zile ndogo ndogo mnapewa waumini. Huo ndiyo mfumo wa Tanzania yetu.
 
wewe ni mfa maji usiyeisha kutapatapa. unajidanganya na wenzio wasukuma kwamba yule chizi wenu alimaliza wizi na upigaji umesahau haya
Nani alijenga uwanja wa ndege wa Chato (MAYANGA CONSTRUCTION) Ni kampuni ya nani? tenda ilitangazwa wapi? fedha za ujenzi zilipitishwa kwenye fungu gani? haya husemi na unajua?
kwanini hapakuwa na taratibu za manunuzi kwenye ununuzi wa MINDEGE? Je unajua alipewa kiasi gani cha pesa?
Asad alifukuzwa kazi kwa sababu ya kuhoji pesa ya serikali, haya tangu lini mtu msafi akamfukuza mtu anayemulikia ili aone uchafu uko wapi? hili huwezi kujibu
Vyeti feki kwanini Makonda aliachwa ? mbona asikague jeshini na polisi kama kweli alipenda haki
HATUTAKI RAISI MNYAPARA, MUUAJI NA MTESI WA WATU. TUNATAKA RAISI MUUNGWANA
Sisi tumefurahi aliyekerwa AKALIFUFUE
 
Kama unaweza kumpiga pini huko huko CCM sawa lakini akishapitishwa huko kwa Katiba hii na NEC hii hakuna kinachoweza kumzuia
 
Mkuu naona umeamua kuvunja ukimya; Prince January na Prince Ridhiwan of Msoga Kingdom wameshapangwa kumrithi Queen Msafiri.

Kwaiyo usimuone Prince January anaangaika kunadi gesi ya TaifaGas, ni kwamba anajua yeye ndiye atachukua jumba la Ufalme.
Yes
 
Gogoki mumedhulumiana nini na huyu best wako hadi kumpiga spana zote hizi? Au mumembetoana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…