January Makamba akiweza kutatua tatizo la umeme nchini atakuwa amejisafishia njia

January Makamba akiweza kutatua tatizo la umeme nchini atakuwa amejisafishia njia

Haya mawazo finyu ya kutegemea binadamu mmoja atatue changamoto za nchi ndio yametufikisha hapa.
 
Oya mkuu JAMES MARTIN kwa kiasi Fran nahisi utakuwa kwa namna moja au nyingine basi una ukalibu kiasi Fran na mh January... Mwambie basi japo awakumbuke watanzania wenzake wa huku visiwani UKEREWE, leo ni Siku ya 3 hakuna umeme
 
Hivi sasa nchi inapitia wakati mgumu kwa watumiaji wa umeme na mafuta. Kwa mtazamo wangu naona hizi changamoto zitakuwa zinamkosesha usingizi waziri husika.

Lakini kuna kitu kinaniambia kwamba huyu kijana hatokubali kushindwa kuzitatua hizi changamoto. Sababu kubwa ni kwamba yeye anajua fika kuwa baada ya mama kumaliza wakati wake ifikapo 2030 watu watampima kutokana na utendaji wake. Na kama akiweza kutatua hizi changamoto atakuwa amezikosha nyoyo za Watanzania.

Mawaziri wenzake wengi sasa hivi wabakaribia kwenye miaka ya 60.

Mpaka ifikapo 2030 wengi wao watakuwa wameshajichokea. Kwa hiyo kama akifanya kazi yake kwa weledi ifikapo 2030 ana nafasi kubwa ya kutoboa!
Atatoboa kwenu wewe na familia yako na ukoo wako pamoja na wapambe mnaoishi kutegemea mifuko ya wanaume wenzenu.
 
Aliye kupatia hilo jero la kununulia bundle ndiyo katuletea kizaazaa hapa jamvini.
Bundle haliulizwi nitumie namba yako nikusaidie kidogo nawe upumzike vipondo vya kila siku kwenye mwendokasi!
 
Bundle haliulizwi nitumie namba yako nikusaidie kidogo nawe upumzike vipondo vya kila siku kwenye mwendokasi!
Tangu Polepole alivyo furumushwa kutoka lumumba siku hizi huna lolote labda posho za kulinda mahame pale rubondo.
FB_IMG_1555773311437.jpg
 
Hivi sasa nchi inapitia wakati mgumu kwa watumiaji wa umeme na mafuta. Kwa mtazamo wangu naona hizi changamoto zitakuwa zinamkosesha usingizi waziri husika.

Lakini kuna kitu kinaniambia kwamba huyu kijana hatokubali kushindwa kuzitatua hizi changamoto. Sababu kubwa ni kwamba yeye anajua fika kuwa baada ya mama kumaliza wakati wake ifikapo 2030 watu watampima kutokana na utendaji wake. Na kama akiweza kutatua hizi changamoto atakuwa amezikosha nyoyo za Watanzania.

Mawaziri wenzake wengi sasa hivi wabakaribia kwenye miaka ya 60.

Mpaka ifikapo 2030 wengi wao watakuwa wameshajichokea. Kwa hiyo kama akifanya kazi yake kwa weledi ifikapo 2030 ana nafasi kubwa ya kutoboa!
Unakumbuka alichokisema MUHONGO vs DARASA LA SABA BUNGENI
na UVCCM Walishangilia kweli leo kipo wapo?
Unataka January ageuke mvua?
Maji yamekauka hakuna gase yule mshamba wenu aliyekufa mpigieni Simu mumwambie hakuna mvua na hakuna umeme
 
Back
Top Bottom