January Makamba amefiti vizuri Wizara ya Mambo ya Nje. Heshima na ushawishi wa Tanzania duniani ni ya kiwango cha juu sana

January Makamba amefiti vizuri Wizara ya Mambo ya Nje. Heshima na ushawishi wa Tanzania duniani ni ya kiwango cha juu sana

Makamba acha kupiga ramli za kisambaaaaa ,wewe ushawaikukataliwa na Raisi mzalendo wa nchii hii,huwezi kutoboa ,utaishia kuwa waziri nakuhakikishia
kijana wa watu yuko serious, focused na mwenye bidii sana kuhakikisha anawaletea wananchi wa jimbo la bumbuli maendeleo endelevu ya kisiasa, kijamii na kiuchumi na wana yafurahia...

huku pia akifanya juhudi na maarifa muafaka ya kizalendo sana, kuhakikisha heshima na wajibu wa Tanzania kwenye sura ya ulimwengu inaleta matokeo chanya miongini mwa mataifa ya dunia....

viva January Makamba viva,:KasugaYeah:

kongole mh. rais,
comrade Dr.Samia Suluhu Hassan kwa kumuamini na kumpa nafasi kijana huyu...:KasugaYeah:
 
Labda Rais wako wewe na familia yako (mnaweza kumuita rais wa mazezeta) mazezeta ni wewe na familia yako. Manake kuna rais wa manzese, rais wa wasafi, rais wa wachafu huyo atakuwa rais wenu nyie mazezeta.
huyo ni mwizi na mdanganyifu wa elimu

Hutaki nini Sasa huyo ndo rais wako wa awamu ya Saba, tutaona 2025 kati ya Mimi na wewe nani zezeta.

Tanzania hamchagui rais Bali mnachaguliwa rais, Sasa kuanzia Sasa rais wenu ni January makamba mmeshachaguliwa rais
 
Na aishie huko huko na kutokea huko huko Mambo ya Nje. Ujinga wa kumpigia debe la kuwa anaweza kuwa Rais wa Tz ni kutudharau Watanzania.

Nishati alikowekwa na Samia aliishia kufanya michongo ya hela tu na kuiacha nchi kwenye giza, uneme wa mgawo
gentleman,
plz plz niwie radhi sana na usinilishe maneno basi. kweli kuna mahali nimezungumzia habari ya urais kweli?:BOGGED:

hivi kweli mimi kiongozi wa wananchi mwenye dhamana nzito ya umma, naweza kuwadharai waTanazania kama unavyo eleza kweli?

hiyo si sawa,
na ni upotoshaji wa wazi kabisa inafaa kupingwa vikali na kupuuzwa na wananchi wote...

jambo la mwisho,
ambalo ndiyo hoja ya msingi na muhimu sana iliyopo mezani , ni ukweli bayana usiopingika kwamba mh.January Makamba anafanya kazi nzuri na kwa weledi sana pale wizara ya mambo ya nje,,,

nadhani anastahili maua yake:pedroP:
 
Wewe sio chawa tu Bali mwongo.
kama mie muongo mbona unasita na kujizuia kusema ukweli?

Mh. January Makamba anafanya kazi nzuri mno pale wizara ya mambo ya nje. na anaifanya kwa budii, maarifa na kwa moyo wake na nguvu zake zote,

na ndio maana jeshima na ushawishi wa Tanzania duniani, katika mambo na masula mbalimbali ni wa kipekee sana na unaokubalika na kuaminika mno kwa mataifa ya ulimwengu:KasugaYeah:

kijana anafaa kupewa maua yake wakati muafaka:pedroP:
 
mihemko na matusi yanini sasa gentleman?

kama huna fikra au mawazo mbadala dhidi ya mtazamo na maoni ya wengine si ukae kumya tu au ufanye mambo mengine:BRUHMM:
Siwezi kukaa kimya huku nikuona wapuuzi kama wewe mnatoa hoja za kijinga na kipumbavu lazima niwakemee kama wachungaji wanavyokemea mapepo midhabahuni.
Nyie ni zaidi ya mapepo na mashetani ambao mnapolute jamii kwa kutia hoja za uwongo na kupotosha.
Sasa huyo makamba alifutiwa mitiani kwa wizi kitu ambachi ni kweli just sababu baba yake alikuwa kiongozi ila ilitakiwa apandishwe mahakamani.
Unakuja na hija nyingine eti samia anapendwa sana wakati juzi tu kuna mtu kachangiwa fedha atoke jela kwa kosa la kuchoma picha na kukkashifu samia. Sasa angekuwa anaoendwa watu wangehamasika kweli kumchangia huyo kijana.
Sasa nyie machawa sometimes mnakaribisha matusi kwani mnaudhi sana kwa upotoshaji wenu, ila tutaenda sambamba mtakula sana majibu kinzani pamoja na matusi juu hata nikipigwa bani nitatengeneza id nyingine kupambana na nyie machawa wa hovyo
 
wizara imetulia, mambo yanafanyika vizuri kwa maneno na matendo. diaspora na wafanya biashara kimataifa kwa ujumla wao, wanakubali kazi na jitihada za wizara kupitia Waziri huyu kijana na mbunge wa Jimbo la bumbuli mh.January Makamba..

Mchango wa Tanzania kwenye forums mbalimbali duniani mathalani kwenye masula ya amani, Elimu , chakula, afya, hali ya hewa, uwekezaji, utalii, uchumi, nishati, viwanda n.k, na kijana huyu amemuwakilisha Rais Dr Samia Suluhu Hassan vizuri sana, pale ambao yeye binafsi anapokua ametingwa na majukumu mengine mazito ya urais ya kitaifa au kimataifa...

heshima na ushawishi wa Tanzania kimataifa ni wa kiwango cha juu sana hivi sasa. na matokeo yake fursa za masomo na ufadhili wa masomo nje ya nchi umeongezeka sana katika nyanja za sayansi, na teknolojia, ajira za walimu wa kiswahili na afya nje ya nchi, biashara, kumiminika kwa watalii na wawekezaji wa nje n.k

una shauri Mh.January Makamba waziri wa mambo ya nje ya nchi, aongeze juhudi zaidi eneo gani la kisiasa, kijamii au kiuchumi ili Tanzania iendelee kunufaika, kuaminika na kuheshimika zaidi duniani?🐒
Huyo kafiti kwenye wizi tu
 
kijana wa watu yuko serious, focused na mwenye bidii sana kuhakikisha anawaletea wananchi wa jimbo la bumbuli maendeleo endelevu ya kisiasa, kijamii na kiuchumi na wana yafurahia...

huku pia akifanya juhudi na maarifa muafaka ya kizalendo sana, kuhakikisha heshima na wajibu wa Tanzania kwenye sura ya ulimwengu inaleta matokeo chanya miongini mwa mataifa ya dunia....

viva January Makamba viva,:KasugaYeah:

kongole mh. rais,
comrade Dr.Samia Suluhu Hassan kwa kumuamini na kumpa nafasi kijana huyu...:KasugaYeah:
Muulize madudu na uchafu aliofanya EWURA......
Anatakiwa kuwa behind bars
 
Makamba kwingine ilikuwa kumuonea tu. Wizara zilizomtendea vizuri ni Mazingira na hii ya Mambo ya Nje.

Huu ni uthibitisho kuwa mtu anafanya vizuri kwenye eneo alilo na utaalam nalo.

Makamba ajira yake ya kwanza Serikali kama sikosei ilikuwa Foreign Affairs
Shukuru Mungu hizi Wizara hazina Hela!! Zingekuwa na hela angeshaharibu siku nyingi sana!!

Dogo akiona hela mbele yake anapandishaga mapepo
 
Siwezi kukaa kimya huku nikuona wapuuzi kama wewe mnatoa hoja za kijinga na kipumbavu lazima niwakemee kama wachungaji wanavyokemea mapepo midhabahuni.
Nyie ni zaidi ya mapepo na mashetani ambao mnapolute jamii kwa kutia hoja za uwongo na kupotosha.
Sasa huyo makamba alifutiwa mitiani kwa wizi kitu ambachi ni kweli just sababu baba yake alikuwa kiongozi ila ilitakiwa apandishwe mahakamani.
Unakuja na hija nyingine eti samia anapendwa sana wakati juzi tu kuna mtu kachangiwa fedha atoke jela kwa kosa la kuchoma picha na kukkashifu samia. Sasa angekuwa anaoendwa watu wangehamasika kweli kumchangia huyo kijana.
Sasa nyie machawa sometimes mnakaribisha matusi kwani mnaudhi sana kwa upotoshaji wenu, ila tutaenda sambamba mtakula sana majibu kinzani pamoja na matusi juu hata nikipigwa bani nitatengeneza id nyingine kupambana na nyie machawa wa hovyo
kwanza jitahidi kua mtulivu pinguza jazba, halafu naona unaweza kabisa kua mtulivu na kujizuia kua na jazba. sawa gentleman,

ili kusudi hata kama hatutakubaliana,
heshima, utu na udugu miongoni mwetu ubaki pale pale mwema na wenye upendo... haya ni mawazo, mtazamo na maoni tu ya kisiasa, kibinadamu..

jambo jingine muhimu sana ni kuepuka kuchanganya hoja na mada nyingine sehemu tofauti.
inafaa uchangie joja mahususi mahala sahihi, nitakuona tu, na nitakujibu huko huko...

na hii itakusaidi kujifunza, kuelewa na kuongeza ufahamu wa masuala mbalimbali na kusaidia kuapata maarifa zaidi juu ya kudeal na mambo haya....

mimi ni muumini wa siasa za hoja,
na ukijieleza na kunishawishi kisataarabu, wala sintasita hata kidogo, kukuunga mkono na kubadili hata misimamo wangu juu ya jambo hilo ambalo huenda nilikua nalielewa kimakosa..

mwisho na kwa umuhimu wa kipekee sana,
Dr.Samia Suluu Hassan, amemuweka mtu sahihi na kwa wakati sahihi sana, pale wizara ya mambo ya nje..

mh.January Makamba, ni mtu makini, mweledi na mchapakazi asie choka, mzalendo na mwenye kujali maslahi mapana ya Tanzania kwenye sura ya ulimwengu....

mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, mjamaa anafanya kazi nzuri sana aise:BASED:
 
gentleman,
plz plz niwie radhi sana na usinilishe maneno basi. kweli kuna mahali nimezungumzia habari ya urais kweli?:BOGGED:

hivi kweli mimi kiongozi wa wananchi mwenye dhamana nzito ya umma, naweza kuwadharai waTanazania kama unavyo eleza kweli?

hiyo si sawa,
na ni upotoshaji wa wazi kabisa inafaa kupingwa vikali na kupuuzwa na wananchi wote...

jambo la mwisho,
ambalo ndiyo hoja ya msingi na muhimu sana iliyopo mezani , ni ukweli bayana usiopingika kwamba mh.January Makamba anafanya kazi nzuri na kwa weledi sana pale wizara ya mambo ya nje,,,

nadhani anastahili maua yake:pedroP:
Wewe kama nani useme anafanya kazi vizuri? Si usubiri bosi wake ndiyo aseme hivyo?

Ndiyo maana watu wanakuona wewe chawa wa kuwa kampenia wanasiasa
 
Shukuru Mungu hizi Wizara hazina Hela!! Zingekuwa na hela angeshaharibu siku nyingi sana!!

Dogo akiona hela mbele yake anapandishaga mapepo
ndugu mpotoshaji,
lengo lako ni nini hasa baba:pedroP:
 
Wewe kama nani useme anafanya kazi vizuri? Si usubiri bosi wake ndiyo aseme hivyo?

Ndiyo maana watu wanakuona wewe chawa wa kuwa kampenia wanasiasa
mimi ni mtanzania mnyonge sana, nisiestahili chochote mbele ya yeyote, ni mdhaifu mno, lakini jasiri na mbunifu mwenye bidii, asie kata tamaa kabisa. si mchoyo, ni muaminifu, mvumulivu na mwenye subra, karama ambazo Mungu kamkirimia kila mja wake humu duniani, ni namna ya kuzitumia tu....

ni mtanzania huru mwenye haki na wajibu kutoa na kueleza maoni na mtazamo bayana na wa ukweli bila kumuomba ruhusa mtu yeyote, bali yote haya ni kwa Neema na Baraka za Mungu tu:pedroP:
 
Muulize madudu na uchafu aliofanya EWURA......
Anatakiwa kuwa behind bars
mambo yanabadilika gentleman,
binafsi naweza tu kumuelezea Mh. January Makamba wa sasa, waziri wa mambo ya nje, kwa namna anavyo ipaisha Tanazania duniani kiuchumi, kisiasa na kijamii,

hayo mengine huenda sina ufahamu nayo, na ni vizuri ukayaandikia uzi kamili wa pekeyake ili tuone kipi ni kipi:BASED:
 
wizara imetulia, mambo yanafanyika vizuri kwa maneno na matendo. diaspora na wafanya biashara kimataifa kwa ujumla wao, wanakubali kazi na jitihada za wizara kupitia Waziri huyu kijana na mbunge wa Jimbo la bumbuli mh.January Makamba..

Mchango wa Tanzania kwenye forums mbalimbali duniani mathalani kwenye masula ya amani, Elimu , chakula, afya, hali ya hewa, uwekezaji, utalii, uchumi, nishati, viwanda n.k, na kijana huyu amemuwakilisha Rais Dr Samia Suluhu Hassan vizuri sana, pale ambao yeye binafsi anapokua ametingwa na majukumu mengine mazito ya urais ya kitaifa au kimataifa...

heshima na ushawishi wa Tanzania kimataifa ni wa kiwango cha juu sana hivi sasa. na matokeo yake fursa za masomo na ufadhili wa masomo nje ya nchi umeongezeka sana katika nyanja za sayansi, na teknolojia, ajira za walimu wa kiswahili na afya nje ya nchi, biashara, kumiminika kwa watalii na wawekezaji wa nje n.k

una shauri Mh.January Makamba waziri wa mambo ya nje ya nchi, aongeze juhudi zaidi eneo gani la kisiasa, kijamii au kiuchumi ili Tanzania iendelee kunufaika, kuaminika na kuheshimika zaidi duniani?🐒
Moja wa kiongozi ovyo kuwahi kutokea Tanzania
 
mimi ni mtanzania mnyonge sana, nisiestahili chochote mbele ya yeyote, ni mdhaifu mno, lakini jasiri na mbunifu mwenye bidii, asie kata tamaa kabisa. si mchoyo, ni muaminifu, mvumulivu na mwenye subra, karama ambazo Mungu kamkirimia kila mja wake humu duniani, ni namna ya kuzitumia tu....

ni mtanzania huru mwenye haki na wajibu kutoa na kueleza maoni na mtazamo bayana na wa ukweli bila kumuomba ruhusa mtu yeyote, bali yote haya ni kwa Neema na Baraka za Mungu tu:pedroP:
Wewe poyoyo tu wala usitupotezee muda. Kama unaweza kumu admire mtu mchovu aliyetuweka gizani miezi 6, sasa wewe ni wa kukusikiliza kweli.

Sawa na panya anavyomuona paka kuwa amekutana na bonge la mnyama. Wakati bado hajakutana na mbwa, simba, chui, nyati etc

Kama unamkubali Januari peleka kwenye familia yenu akawaongoze
 
Back
Top Bottom