January Makamba anatakiwa aitwe na kuhojiwa na chama chake kuhusiani na kauli zake zinazohusu uchaguzi wa 2020

haina haja wala si muhimu kama ni kauli zake au maoni na mtazamo wake binafsi 🐒
 
Uhuru wa mtu kutoa hisia zake uheshimiwe. Hii siyo sukuma gang era. Understand wewe pimbi?
 
Kwa sababu huyu mama ni mwema sana anapenda maridhiano amekuja na 4R. Ongezea na viongozi wa wajuu wa CCM wanakiri hadharani kupitia makamu mwenyekiti wa CCM na katibu wa UWT na kuna mawaziri kadhaa pia wamesikika wakitoa kauli hizi Nape na Makamba.

Haki itendeke haraka sana, mwambieni raisi aitishe uchaguzi mkuu haraka sana mwaka huu, kuondoa dhulma iliyofanyika 2020 si anataka maradhiano na ana amini haki aikutendeka maana hizo kauli zimeongelewa mara kadhaa mbele yake na Kinana, Nchimbi na Makamba; hata yeye mwenyewe anaamini hivyo ndio maana akaja na hizo 4R.

Kwa hivyo hakuna namna zaidi ya kuitisha uchaguzi mkuu mwingine haraka sana kuondoa dhulma ya 2020.

Kama wapo kwa dhulma na CCM uongozi wa juu wa CCM mwenyekiti, makamu na katibu na baadhi ya mawaziri wao wanakubali waitishe uchaguzi kuwapa wananchi haki.

Kunufaika na dhulma maana yake na wewe ni sehemu ya dhulma na uhalifu uliotendeka. Mama aitishe uchaguzi haraka sana hakuna namna nchi aiwezi ongozwa na raisi anaekiri yupo pale kutokana na dhulma.
 
Ni sawa kusema makuburu wanachafuliwa kwa unyama wao huko afrika kusini, kisa wameijenga Africa kusini. Ni hivi, dhalimu magu alikuwa shetani kwenye umbile la binadamu.
Baba yako alikuwa nani kwa wale watoto aliowalawiti
 
Hayo unajua ww, sisi tunajua Magufuli alikuwa kiongozi muovu, na tunamshukuru Mungu kwa kutoondolea yule kiongozi muovu.
Kama ukoo wenu unavyofurahi Baba yako muovu alivyoondoka
 
Kosa moja halihalalishi jingine au mengine.
Kujua na kukiri kosa ni hatua moja katika kurekebisha makosa yasjirudie tena.
Ni muhimu tujenge jamii na taifa la watu wanaoheshimiana kistarabu.
Siasa za wizi wa kura haziwezi kujenga jamii na taifa.
 
Samia ana wasanifu wapinzani, watajaa, kumbuka Tz tuna wapinzani wa ruzuku, watajaa tu kichwa kichwa.

Kama ana penda haki si tuandae katiba mpya kwa sasa na tuwe na tume huru? Afanye hivi vitu viwili tu kabla hata ya uchsguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi wa mwakani, kama hakuna haya yote asemayo ni zero .

Ana shindwa kusolve mambo ya msingi ysnauo gusa maisha ya kila siku ya mtanzania amekazania vitu ambavyo having tija, biashara hazifanyiki,bank hakuna dollars, kwa siku bank zinapata 200 dollars tu, mama lenu like busy na mambo ya kijinga halijui chochote.
 
Utawala uliofeli kwenye kila kitu.

Toka Samia ameingia madarakani hakuna lolote la maana kafanya huyu mama.

Yeye na mawaziri wake mzigo kama Januari.

Kachagua wale mizigo wote wamsaidie na kweli wamemsaidia kuharibu nchi.
 
Mbona A Kinana naye kasema,ukweli uchaguzi wa 2019/2020 tulinusulika kuliingiza taifa kwenye umwagaji damu,isije kurudiwa. Nchi nzima inajua. hapa tuache uchawa. Makamba yuko sahihi.
 
Umeandika takataka
 
2019/2020 partisan election. Ilikuwa balaa uchaguzi ule, maelekezo ukichagua mpinzani huna kazi Mkurugenzi,wote walikuwa makada. hatari sana tusishabikie hili
 
kwako wewe ila kwangu mimi kwa nchi kafanya mengi mazuri yatakayonufaisha vizazi na vizazi.
Hata makaburu wa Africa kusini walifanya mazuri kuliko ya dhalimu magu, umeona tukiwasifia au wakisifiwa na weusi wa nchi hiyo?
 
Uko sahihi kabisa...sifa namba moja katika Tanzania ya kuwa Waziri ni lazima uwe Mbunge ... January Makamba ni Mbunge zao la uchaguzi wa 2020...na kateuliwa mara tatu kuwa Waziri, once na Magufuli na Twice na Mama.
 
Huyo bado ana kinyongo, asilolijua ni kuwa
unapokuwa na kinyongo na marehemu,unamaanisha unahitaji nawe umfuate mkapigane huko ahera.
 
Wazee wa bao la mkono,refa alijifanya halioni.
Kumbe akaliona baada ya mchezo kuisha
mfungaji aliisoma namba,mpaka akajiunga na waliomlaumu kulifunga
wote wakimlaumu refa. Kweli dunia ni duara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…