Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 8,332
- 31,306
Utumwa wa fikra kitu kibaya sana.
We unamshutumu January kumsema jiwe lakini hapo hapo wewe unamsema huyo January mwanzo mwisho. Mara kapewa wizara, mara kashindwa sijui nini na unaona sawa tu.
Kwann mna react sana Magu akikosolewa hivi? Nyie kwenu Magu alikuwa ni Mungu au ni nini asifanye makosa?
We unamshutumu January kumsema jiwe lakini hapo hapo wewe unamsema huyo January mwanzo mwisho. Mara kapewa wizara, mara kashindwa sijui nini na unaona sawa tu.
Kwann mna react sana Magu akikosolewa hivi? Nyie kwenu Magu alikuwa ni Mungu au ni nini asifanye makosa?