January Makamba apewa makavu live na Lady Jay Dee

Jide yuko sahihi sana. Nampenda alivyopata ujasiri wa kumpa vipande vyake fasta.
Haya majinga yaliyokuzwa kifisadi yakiachwa achwa yanajiona yako sahihi.
 
Jide yuko sahihi sana. Nampenda alivyopata ujasiri wa kumpa vipande vyake fasta.
Haya majinga yaliyokuzwa kifisadi yakiachwa achwa yanajiona yako sahihi.

Tunahitaji wasanii kariba ya jide
 
Baada ya hapo Makamba alijibu vipi?
 
Safi sana...ila hajachelewa, anaweza bado akawashauri hao wazee wa "fursa" jinsi ya kuukuza muziki wetu.
 
Chea olitician always makes comments on issues which have no benefits to the poor community!
 
Cheap politician always makes comments on issues which have no benefits to the poor community!
 

na bahati mbaya natumia simu nw ila chukua like hiyo mkuu!
 
msanii unatakiwa kutumia muda wako kutengeneza marafiki na si maadui...wanaojua hilo ndio tunawaona hawana muda hata wa kujibu magazeti ya udaku...

niliangalia kanye anahojiwa hasira anayoonyesha kwa mtangazaji na makampuni ilikuwa wazi kuwa anaelekea kuporomoka...utashinana na Nike
 
Tuwe wakweli katika hili Jide ana personal problems nyingi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…