January Makamba Apewe Nafasi... Mtoto Akianguka Humkati Miguu

tumekusoma, tumekuelewa.
Kijana Makamba anafaa sana kuwepo katika hii Wizara.
Ni kusahau tu kwa watu, ila makamba ametupambania sana wkt wa mgao wa umeme nchi hii. Sasa aoneshe kweli anastahili.
Hii ndiyo pointi; aachane na vigengevigenge vya kisiasa.
 
Hii misemo ya wahenga ni ya kuzingatia...
 
Mkuu tatizo sio kufanya kosa la hasha tatizo ni kurudia kosa J.M anarudia mno makosa aliyokwisha yafanya
Binafsi naamini hapa ndio ama anaweza kuja kugombea Urais kweli au watu watasema "hafai hata abebwe vipi"....
 
Muda utaongea zaidi
Kuna msemo kuwa "asiye na bahati, habahatiki" na kuwa "Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi"... kwa namna moja ni kama namuonea huruma maana wapo wanaoona kuwa hatoweza na wengine wanaoona labda hii ni nafasi yake kuonesha anastahili... kusema kweli, akiachwa na Samia itakuwa ni mwisho wake wa kisiasa...
 
Kuna wenzetu hata waharibu vipi bado watapewa nafasi.
Mbona hizo nafasi hamuwapo vyama vingine nao washike madaraka?
 
Aisee , toka awamu ya 4, ya 5 na ya 6 bado anapewa nafasi tu ya kujirekebisha?
Sasa lini tutapata Maendeleo ikiwa Mtu kawa waziri kwenye serikali 3 huku kibwagizo kikiwa apewe nafasi atajirekebisha?
Acheni hizo aisee, yeye ni nani Hadi apewe nafasi Mara zote kwa kisingizio Cha kujirekebisha?
Basi warudisheni akina muhongo nao wajirekebishe.
 
Napita. Tumeshaonywa na Simba anachokiona.
 
Anaachwaje? Wakati unatafutwa tu uhalali wa kumuingiza Ridhiwani kwenye baraza la mawaziri ili dance of Pope likamilike.?

Hujui kama hujui.
 
Kama kuna kosa Mama kalifanya ni kumrudisha J. Makamba kwenye uwaziri. Hapa CV ya mama imeharibika, na ninafikiri kafanya hivyo kwa shinyikizo kubwa sana toka kwa wenye nchi. Pole sana mama.

Nina imani kuwa hata mwenyewe mama hili linamtesa sana, na hapo ndio test kubwa ya kushika nafasi ya urais.
 
siasa ni ya wanasiasa , vigenge havikwepeki
To be frank; labda angepelekwa chamani zaidi kuliko kwenye utendaji? aje kukijenga chama... maana alifanya kazi nzuri sana kwenye mambo ya teknolojia 2010.
 
Anaachwaje? Wakati unatafutwa tu uhalali wa kumuingiza Ridhiwani kwenye baraza la mawaziri ili dance of Pope likamilike.?

Hujui kama hujui.
Sikufikiria hili; kama Ridhiwani kuingia itakuwa ni baada ya 2025... unafikiri anaweza "kugombea" 2030 - yaani Ridhiwani maana huo mnyukano wa hawa jamaa utakuwa legendary.
 
Bila katiba mpya hizi ni porojo tu.
 
Baba yake mzee makamba ni nepotist mkubwa. Amekua akiombea vyeo jamaa zake na marafiki wasiokua na sifa ndio itakua mwanaye januari? Januari alivyotoka tu marekani kusoma akatua ofisi ya rais jk eti mwandishi wa hotuba za rais😂😂😂
 
Kabla ya Magufuli kuwa Rais nilikuwa nasoma kila anachokiandika Mwanakijiji na nilikuwa namwelewa.

Baada ya Magufuli kuwa Rais, kila nikijaribu kusoma anachokiandika sielewi kabisa. Nikaamua kuachana na maandishi yake.

Sasa hivi nikiona kaandika nasoma comments tu naondoka.
 
Nasimama kujisahihisha...
 
Na. M. M. Mwanakijiji

MM Mwanakijiji.
New Nguvumali, Tanga.
Bandiko hili sijui lilinipitia wapi?!, ila pia mwana jf mwandamizi wa ughaibuni, kuibukia Nguvumali Tanga kimya kimya, its news to me, its not fair!.
Huwezi kurejea hivi kimya kimya unless its true kuwa wewe ni mtu wa kule, hivyo ukiwa popote huruhusiwi kusema au kujulikana!,
karibu nyumani!.
P
 
Ubunge unatosha, mengine ni NAONGEZA, aache nyodo ya kujiona ana akili na mjuaji kumpita boss wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…