Uchaguzi 2020 January Makamba asema hana uhakika kama atagombea Ubunge 2020

Hapana, ana zaidi ya 45, japo sio mzee. Yeye ni baadhi ya watu walioendekeza siasa za hujuma, sasa zimemrudia anazikimbia. Kwa ujumla Januari hawezi siasa zisizo na mbeleko, na safari hii mbeleko imekatika.
Aiseee !!
 
Huyo hata asipo gombea anajua atabaki kuteuliwa kuwa barozi na baada ya ubarozi atarudi na kuwa raisi wa nchi


Naota tu
 
Uchaguzi ujao utakuwa ni uchaguzi wa kuchagua WAHUNI! Pia uchaguzi utafanyika kihuni kabisa kabisa!
 
Nadhani sasa ni rasmi anaelekea ACT wazalendo!
Huko hawezi kwenda. Moyoni mwake anautaka sana urais. Kama kweli hatagombea,anataka kutengeneza bomu kwa ajili ya 2025. Afe beki,afe kipa haka kajamaa kanauwinda sana urais. Usije ukashangaa 2020 anataka kupingana na mwingine
 
Sasa mbona kichwa chako cha habari kipo tofauti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…